Shine
JF-Expert Member
- Feb 5, 2011
- 11,481
- 1,364
Wakuu muda si mrefu nimemuona mbunge wa Arusha mjini (CHADEMA) Godbless Lema maeneo ya Kikatiti. Alikua ndani ya gari na alisimama ili kusalimia watu ambao walianza kulizunguka gari lake kumsalimia baada ya kumtambua.
Hakukaa sana eneo hili kwani mara baada ya kusalimiana na raia alishika barabara ya kuelekea Maroroni.
Haya sasa wale wazeee wa kimeru waliosema watamfanya vibaya, Lema huyooo Arumeru!
Maneno watupu hayavunji mfupa kama washazoea kuwachimba mkwara nyani huko porini kwao wanafikiri binadamu wanatishika kirahisi namna hiyo?