Kamanda Kova: Tutamfikisha Halima Mdee mahakamani

Kamanda Kova: Tutamfikisha Halima Mdee mahakamani

Kamanda Kova amedai atamfikisha mahakamani muda mfupi ujao mwenyekiti wa BAWACHA,Mh. Halima Mdee.

Chanzo: Startv magazeti

My take;

UTII WA SHERIA BILA SHURUTI NI JAMBO JEMA

Kabla hajamfikisha Halima Mdee mahakamani ni vema akatuambia kwanza juu ya wale waliokamatwa kuhusika na kifo cha Dr. Mvungi hadi sasa kesi imefikia wapi na je zile Kofia na Bendera za CHADEMA alizotuonyesha kipindi kile na kusema kuwa walikamatwa nazo watuhumiwa na kujinathibisha kuwa ni wafuasi wa CHADEMA tunaomba atuthibitishie na hilo pia.

- Na picha ya Kwanza hapo chini inajionyesha wazi kwa mbele kuna mtu aliyekaa ambaye amevaa nguo za CCM (Kijani) ni vema tukaambiwa ni nani na alikwenda hapo kwa ajili ya nini

KOVA2.JPG KOVA3.JPG

Hivi ni vifaa alivyotuonyesha KOVA kuwa walikamatwa navyo wale watuhumiwa wa mauaji ya Dr. Mvungi.
 
sijawahi kuona wala kusikia kesi ya kuandamana bila kibala ikitolewa hukumu,labda kama kova anataka kutufurahisha tu...
cc: @slaryslip

waislam walioandamana walifungwa mwaka mmoja mwaka jana mdau umesahau???maandamano wakifanya wanasiasa hata wakikamatwa hawafungwi ila wakifanya non-Politicianz mmmmh,ukianza kufatilia wanasiasa wa upinzani wana kesi mikoa mbalimbali(nyingi za maandamano) hawahukumiwi,zile kesi hufa kifo cha asili
 
Kabla hajamfikisha Halima Mdee mahakamani ni vema akatuambia kwanza juu ya wale waliokamatwa kuhusika na kifo cha Dr. Mvungi hadi sasa kesi imefikia wapi na je zile Kofia na Bendera za CHADEMA alizotuonyesha kipindi kile na kusema kuwa walikamatwa nazo watuhumiwa na kujinathibisha kuwa ni wafuasi wa CHADEMA tunaomba atuthibitishie na hilo pia.

- Na picha ya Kwanza hapo chini inajionyesha wazi kwa mbele kuna mtu aliyekaa ambaye amevaa nguo za CCM (Kijani) ni vema tukaambiwa ni nani na alikwenda hapo kwa ajili ya nini

View attachment 190835 View attachment 190836

Hivi ni vifaa alivyotuonyesha KOVA kuwa walikamatwa navyo wale watuhumiwa wa mauaji ya Dr. Mvungi.

ukitaka kujua IQ za hawa jamaa waangalie wakat wanapambana na waandamanaji,kuna wakat walikua wakienda UDSM kuwapiga wanafunz wanaoandamana ndani ya kampas tena kwa aman,na huskia raha kupigapiga,mtu mwenye akili timamu huwez kukubali kupewa mafunzo ya kumpiga mtu ambaye hajakukosea,hata mbwa huangaika na mtu ambaye anahusishwa na mbwa alichoamriwa kufanya.bahat mbaya wengi wao maskin shule zimewapitia kushoto,wana hali ngumu mitaani,njaa sasa mmmh
 
Hivi siku CCM wakiandamana kumpongeza Raisi kwa Rasimu ya 3 ya katiba nao watapelekwa mahakamani na kucharazwa?
 
Kabla hajamfikisha Halima Mdee mahakamani ni vema akatuambia kwanza juu ya wale waliokamatwa kuhusika na kifo cha Dr. Mvungi hadi sasa kesi imefikia wapi na je zile Kofia na Bendera za CHADEMA alizotuonyesha kipindi kile na kusema kuwa walikamatwa nazo watuhumiwa na kujinathibisha kuwa ni wafuasi wa CHADEMA tunaomba atuthibitishie na hilo pia.

- Na picha ya Kwanza hapo chini inajionyesha wazi kwa mbele kuna mtu aliyekaa ambaye amevaa nguo za CCM (Kijani) ni vema tukaambiwa ni nani na alikwenda hapo kwa ajili ya nini

View attachment 190835 View attachment 190836

Hivi ni vifaa alivyotuonyesha KOVA kuwa walikamatwa navyo wale watuhumiwa wa mauaji ya Dr. Mvungi.

cc: Lizibon
 
Last edited by a moderator:
Kabla hajamfikisha Halima Mdee mahakamani ni vema akatuambia kwanza juu ya wale waliokamatwa kuhusika na kifo cha Dr. Mvungi hadi sasa kesi imefikia wapi na je zile Kofia na Bendera za CHADEMA alizotuonyesha kipindi kile na kusema kuwa walikamatwa nazo watuhumiwa na kujinathibisha kuwa ni wafuasi wa CHADEMA tunaomba atuthibitishie na hilo pia.

- Na picha ya Kwanza hapo chini inajionyesha wazi kwa mbele kuna mtu aliyekaa ambaye amevaa nguo za CCM (Kijani) ni vema tukaambiwa ni nani na alikwenda hapo kwa ajili ya nini

View attachment 190835 View attachment 190836

Hivi ni vifaa alivyotuonyesha KOVA kuwa walikamatwa navyo wale watuhumiwa wa mauaji ya Dr. Mvungi.

Hivi jeshi la polisi limegeuka kuwa wasemaji wa mahakama? Kama unataka kujua maendeleo ya kesi kwa nini usiende kwa wahusika wa mahakama wakujibu?
 
Kwa sera za Maandamano CHADEMA wanaongoza!.

CHADEMA hawana agenda mbadala za kitaifa zitakazo waweka machoni mwa wananchi wengi, kwa sasa wanachofanya ni kutafuta attention kwa njia zozote.

Who cares about BAWACHA.

Halima Mdee na BAWACHA yake anadhani style ya maandamano yasiyopata go ahead ya polisi BAWACHA watapata positive coverage.

Huna akili hata ya kunywea maji go ahead ya polisi ni kwa jangiri la pembe za ndovu na yule kijana anayesaka baba yake waendelee Bawacha wataandamana maana nchi ni yao
 
Kwa sera za Maandamano CHADEMA wanaongoza!.

CHADEMA hawana agenda mbadala za kitaifa zitakazo waweka machoni mwa wananchi wengi, kwa sasa wanachofanya ni kutafuta attention kwa njia zozote.

Who cares about BAWACHA.

Halima Mdee na BAWACHA yake anadhani style ya maandamano yasiyopata go ahead ya polisi BAWACHA watapata positive coverage.

Agenda za ccm za kitaifa ni zipi na zimefanikiwa kwa kiasi gani?
 
Kwa sera za Maandamano CHADEMA wanaongoza!.

CHADEMA hawana agenda mbadala za kitaifa zitakazo waweka machoni mwa wananchi wengi, kwa sasa wanachofanya ni kutafuta attention kwa njia zozote.

Who cares about BAWACHA.

Halima Mdee na BAWACHA yake anadhani style ya maandamano yasiyopata go ahead ya polisi BAWACHA watapata positive coverage.
Wakati mwingine huwa nakuona kama kichaa vile kwani shule yako na unachoandika havifanani! Kwani CCM ina agenda gani zaidi ya ufisadi na ulafi wa madaraka kiasi kwamba sasa mumeamua kiiingiza rasimi kwenye katiba! Hamtaki viongozi wazembe, mafisadi, wezi na wenye fikra mgando kama wewe wawajibishwe. Huna akili hayawani wewe!
 
Hivi jeshi la polisi limegeuka kuwa wasemaji wa mahakama? Kama unataka kujua maendeleo ya kesi kwa nini usiende kwa wahusika wa mahakama wakujibu?
Alimaliza lini upelelezi mtu mnafiki anashusha kiwango cha jeshi la polisi na kulifanya liwe na maadui wakubwa lini kesi imeshapelekwa mahakamani si alisema amewapata vijana tunakuuliza walipelekwa lini mahakamani na mahakama ipi acha upuuzi wa kubishia kila kitu
 
Kwa sera za Maandamano CHADEMA wanaongoza!.

CHADEMA hawana agenda mbadala za kitaifa zitakazo waweka machoni mwa wananchi wengi, kwa sasa wanachofanya ni kutafuta attention kwa njia zozote.

Who cares about BAWACHA.

Halima Mdee na BAWACHA yake anadhani style ya maandamano yasiyopata go ahead ya polisi BAWACHA watapata positive coverage.

Ndugu, polisi hawatoi go ahead wanataarifiwa tu kwa maandamano ya amani.. Hiyo ya go ahead inatokea tu kwa sababu ya watu ku-avoid fujo na polisi na kupata taarifa endapo njia watakazotumia tayari zina shughuli nyingine kama misafara ya viongozi n.k.
 
Aah wapi hakuna chochote hapo, hayo ni maneno tu hata kwenye kanga yapo mbona??
 
Kwa sera za Maandamano CHADEMA wanaongoza!.

CHADEMA hawana agenda mbadala za kitaifa zitakazo waweka machoni mwa wananchi wengi, kwa sasa wanachofanya ni kutafuta attention kwa njia zozote.

Who cares about BAWACHA.

Halima Mdee na BAWACHA yake anadhani style ya maandamano yasiyopata go ahead ya polisi BAWACHA watapata positive coverage.

Agenda sii ni zile ambazo CCM huwa wanaziiga? Kulikuwa na suala la katiba na halikuwa agenda ya CCM, wameiga lakini utekelezaji wake ni mizengwe mitupu. Kutoa Elimu bure CCM walipinga sasa eti ndio wanazungumzia. Kuwezesha wananchi kujijengea nyumba bora kwa kuhakikisha vifaa vya ujenzi vinashuka bei nayo CCM eti ndio wanaanza kuongelea.
Suala la maandamano lipo dunia nzima na sehemu nyingi ndilo lililoleta mabadiliko na hata kuondoa serikali dhalimu madarakani ila hapa Polisi wetu kwa vile upeo wao wa kuelewa na mkuu wao anateuliwa moja kwa moja na mkuu wa nchi ambaye ni mwenyekiti wa Chama tawala wanatumika kukandamiza demokrasia.
 
Back
Top Bottom