Kamanda Kova: Tutamfikisha Halima Mdee mahakamani

Kamanda Kova: Tutamfikisha Halima Mdee mahakamani

Anaacha kuolewa umri umeenda anahangaikia upuuzi usiokuwa na faida kwake binafsi na kwa familia yake....

Bora afungwe akapate akili
 
Kamanda Kova amedai atamfikisha mahakamani muda mfupi ujao mwenyekiti wa BAWACHA,Mh. Halima Mdee.

Chanzo: Startv magazeti

My take;

UTII WA SHERIA BILA SHURUTI NI JAMBO JEMA
Kova "macho kumchuzi" ataweza nini kwa mwanasheria mahiri!! stupid!! Kazi yake kutumika tu. Atupatie yule mkenya mpigaji wa ulimboka chizi tu huyu!!
 
Kova "macho kumchuzi" ataweza nini kwa mwanasheria mahiri!! stupid!! Kazi yake kutumika tu. Atupatie yule mkenya mpigaji wa ulimboka chizi tu huyu!!

Mwanasheria gani aliyefeli kama Mdee! Tuambie ana GPA ya ngapi? We unadhani polisi ya leo ni kama ya zamani! Sasa hivi kuna vijana wasomi wazuri mno wa taaluma mbalimbali. We ngoja uone atakavyonyea debe segera! Sijui watamuweka peke yake, maana ni msagaji.
 
Kuna mda unajitahidi kua na akili kidogo mda mwingine kama umevurugwa vile tatizo nini au huko uliko kuna mawingu sana sasa yanakuathiri au yote hyo ni posho ya buk7.

acha mchecheto, nyie si mmesema ni mwanasheria! Ngojea uone sasa, na nyie kwa kashfa zenu ndio mnamuharibia kabisaa!
 
Ndugu, polisi hawatoi go ahead wanataarifiwa tu kwa maandamano ya amani.. Hiyo ya go ahead inatokea tu kwa sababu ya watu ku-avoid fujo na polisi na kupata taarifa endapo njia watakazotumia tayari zina shughuli nyingine kama misafara ya viongozi n.k.

Sasa unapozuiliwa kwa kusababisha hizo njia zisipitike kwa nini ukomalie kuandamana? Acha akanyee debe tu, tumechoka na vurugu, hatupumui!
 
Mwanasheria gani aliyefeli kama Mdee! Tuambie ana GPA ya ngapi? We unadhani polisi ya leo ni kama ya zamani! Sasa hivi kuna vijana wasomi wazuri mno wa taaluma mbalimbali. We ngoja uone atakavyonyea debe segera! Sijui watamuweka peke yake, maana ni msagaji.

Hakuna mwenye uwezo wakumfunga Mdee na wala haitatokea akafungwa. Naona mtandao wa tigo unakuwasha unatafuta wakuukuna subiri kidogo vijana rijali wakushughulikie ili jioni useme vizuri umesagwa. Tatizo nyie vijana wa lumumba ni chakula ya wazee a.k.a nyie sio rizki.
 
Kamanda Kova amedai atamfikisha mahakamani muda mfupi ujao mwenyekiti wa BAWACHA,Mh. Halima Mdee.

Chanzo: Startv magazeti

My take;

UTII WA SHERIA BILA SHURUTI NI JAMBO JEMA
Shughuli imeanza wameshahojiwa na vyombo vya habari vya kimataifa!! subiri uone!!
 
Alimaliza lini upelelezi mtu mnafiki anashusha kiwango cha jeshi la polisi na kulifanya liwe na maadui wakubwa lini kesi imeshapelekwa mahakamani si alisema amewapata vijana tunakuuliza walipelekwa lini mahakamani na mahakama ipi acha upuuzi wa kubishia kila kitu

Usipende kuwa mtu wa kukurupuka Lwesye. Kabla hujamtupia mtu lawama, jaribu kujiridhisha na hicho unacholalamika. Hao watu walishafikishwa mahakamani muda mrefu sana na kesi bado inaendelea.
 
Last edited by a moderator:
acha mchecheto, nyie si mmesema ni mwanasheria! Ngojea uone sasa, na nyie kwa kashfa zenu ndio mnamuharibia kabisaa!

Lini mliweza kuishinda cdm kwenye mambo yanayohusu sheria? Ndani ya cdm kuna wanasheria vichwa tena manguli wa sheria.
 
Lini mliweza kuishinda cdm kwenye mambo yanayohusu sheria? Ndani ya cdm kuna wanasheria vichwa tena manguli wa sheria.

Nguli wa sheria hapo chagadema sijawahi kumuona hata mmoja, hebu nitajie na uniambie na kesi walizawahi kushinda.
 
Kinana anashiriki kujenga zahanati, maabara za shule, visima vya maji etc kwa ajili ya wananchi, CDM wanajenga nini humo barabarani?



CHAMA CHA SIASA ni MABARABARANI NA MAJUKWAANI - JK NYERERE , MY TAKE - MAANDAMANO YA KINANA HUYAONI ?
 
Yani aliyenyang'anywa haki, ndo huyo huyo anashtakiwa?

Sawa na mwizi akuibie halafu tena aende kukushtaki, daah!

Only in Tz!
 
Yani aliyenyang'anywa haki, ndo huyo huyo anashtakiwa?

Sawa na mwizi akuibie halafu tena aende kukushtaki, daah!

Only in Tz!

In respect of rights and duties of individuals, kila haki ina mipaka yake. Muhuni kama Mdee hawezi tu kulala na kuamkia mabarabarani bila utaratibu, barabara ni mali ya watu wengi na hutumika kubeba wagonjwa, wazee, wenye kutafuta riziki zao sio kwa maandamano yasiyo na kikomo wala tija! Kamata weka ndani muhuni huyo, nchi haiachwi kuendeshwa kihuni na wanywa viroba na wagonga vijiti vya Arachuga kama Mdee.
 
Kinana anashiriki kujenga zahanati, maabara za shule, visima vya maji etc kwa ajili ya wananchi, CDM wanajenga nini humo barabarani?

Umetapeliwa mkuu ! Si kila anayeshika tofali anajenga , hebu nionyeshe mradi wowote alioshiri kinana uno exist .
 
Niliwahi kuingia kiwanja cha CCM Kirumba kiko Mwanza....unapoingia lango kuu la jukwaani unakutana na maneno yasemayo "BILA CCM MADHUBUTI HAITHUBUTU-JK NYERERE.Sijaingia kipindi sijui bado yapo au yameshafutwa! Hawa jamaa sijui hayo maneno hawayaoni! Wao wanajidanganya CCM bado madhubuti! Hakika mimi nasema haithubutu! Sio madhubutu tena. Badala ya kubuni na kuumiza vichwa vyao waobe ni jinsi gani wapambane na rushwa,ufisadi,ujinga na maladhi wao wako bize kuhangaika na CDM! Injini ya Tanzania ambayo ni CCM imeshachoka na inatakiwa kuitoa na kuweka nyingine! Watendaji wake wako hoi,hawana mawazo mapya. Je! Ni nani CCM anaweza kusimama kugombea jimbo na akashinda bila kutoa rushwa? Kati ya wabunge wote Tanzania bara kwa tiketi ya CCM labda wawili tu wanaweza kupenya bila kugawa rushwa! Kange Lugora na Deo Filikunjombe.....zaidi ya hapo nani atakuwa na ujasiri wa kuomba kura hata ya mwenyekiti wa mtaa bila kugawa rushwa kati ya wabunge wote wa CCM!?
Hii ina maanisha nn? CCM haikubariki ila wanatumia weakness yetu ya umaskini wanapenyea hapo! Shame on them!
 
In respect of rights and duties of individuals, kila haki ina mipaka yake. Muhuni kama Mdee hawezi tu kulala na kuamkia mabarabarani bila utaratibu, barabara ni mali ya watu wengi na hutumika kubeba wagonjwa, wazee, wenye kutafuta riziki zao sio kwa maandamano yasiyo na kikomo wala tija! Kamata weka ndani muhuni huyo, nchi haiachwi kuendeshwa kihuni na wanywa viroba na wagonga vijiti vya Arachuga kama Mdee.
Kuna jamaa kasema nyie ni vyakula vya wazee(bwabwa) wazee wenyewe mafisadi nimeamini leo!!
 
Ajabu wakitajiwa majina ya wauza sembe hawataki hata ya kuyashughulikia,Polisi wa Tz hovyo kabisa.
 
Back
Top Bottom