Kamanda Kova: Tutamfikisha Halima Mdee mahakamani

Kamanda Kova: Tutamfikisha Halima Mdee mahakamani

Kwenda na wakati kunahitaji utafiti wa hicho unachotaka kukifanya ambacho hapo awali ulikuwa hukikubali ama hukifanyi.

Sasa nyie magamba mmekurupuka tu kuvamia vitu msivyoviju na hamkuwahi kuvifanyia utafiti mwisho wake mnavifanya kwa akili ndogo na kuviharibu.

Mlipinga kuwa nchi haihitaji katiba mpya, ghafla mwenyekiti wenu akakurupuka kuanzisha mchakato mwisho wake nchi imegawanyika mmepitisha katiba mpyaya ccm badala ya katiba ya wananchi.

Mlipinga kusomesha bure watoto wa kitanzania lakini sasa mmekurupukia hoja msiyoifanyia utafiti nayo itawashinda katika utekelezaji.

Mlipinga wananchi kuwezeshwa kujenga makazi bora kwa kupunguza kodi na ushuru katika vifaa vya ujenzi ili wananchi wavinunu kwa bei ya chini lakini sasa mmeikurupukia hoja hiyo bila utafiti na kutaka kui-implemennt matokeo yake mtauvuruga uchumi wa nchi kwakuwa hamjui mnachotakiwa kufanya ili kuweka balancing katika kuwawezesha wananchi na kutoathiri mapato ya serikali.

Wazee wa kukurupuka mtaendelea kukurupuka tu na kucopy vitu msivyovijua na wala msivyovifanyia utafiti na matokeo yake mtaishia kupata matokeo mabaya sasa(Bad Results Now-BRN).

wewe ni kundi la zito huna uzalendo wowote kwa nchi. laana ya usaliti inakutafuna

cc: kitila mkumbo
 
Unahitaji ushahidi gani tena hali kushindwa kwa CDM kuko wazi katika kila jambo wanalolipanga? Hata kwenye katiba mpya agenda zenu za kushawishi watu wafanye vurugu zimeshindwa vibaya na wewe mwenyewe ni shahidi. Pia agenda ya kukwamisha katiba mpya imepiga mweleka vibaya mno. Chaguzi ndogo ndiyo usiseme hata za udiwani pia mmeshindwa vibaya pamoja na kutumia "peoples power"! Sasa unataka ushahidi gani tena?



umeshindwa kuleta vielelezo badala yake umeleta povu ! Utamdanganya nani humu jf wewe ?
 
Mbona wewe hauko mahakamani na Kova ili mumfunge Mdee kama mlivyoahidi badala yake mnajificha kwenye keyboard hapo lumumba na computer zenu za msaada toka china huku mkipost ujinga mlionao kichwani mwenu.

Mi niko mahakamani mbona we sikuoni?
 
Hivi Halima Mdee alishajisafishaga kwenye zile kashfa ambazo zilivuma sana mwaka juzi? Naona anachokifanya kuwatunishia misuli polisi kinashabihiana na kashfa zile

Eti wewe ni Mheshimiwa Mbunge na kuna kundi la watu unawawakilisha bungeni? Nasikia pia unaweza kuwa ni Waziri kwenye serikali hii ya awamu ya nne inayomaliza muda wake. Hizi babari ni za kweli au ni fununu tu?
 
Ndugu,
Haya siyo maneno yangu bali ni maneno ya sheria.

Soma Sheria ya Jeshi La Polisi Na Huduma Saidizi [Sheria Kuu], Sura ya 322 katika Ibara ya 43 ambayo inasema,

Asante sana kwa kuweka sheria. Ila nikijaribu kuifafanua au kuielewa hiyo sheria uliyoi-quote; naona yafuatayo:

43. (1) Mtu yeyote ambaye ana mpango wa kufanya, kukusanya, kuunda au kupanga mkusanyiko au maandamano ya hadhara , kwa muda usiopungua saa 48 kabla ya mkusanyiko au maandamano kwa muda uliopangwa kuanza, atawasilisha kwa maandishi notisi kuhusu kufanyika kwa mkusanyiko au maandamano hayo kwa afisa polisi msimamizi wa eneo hilo akianisha:-

(a) sehemu na muda ambao mkutano utafanyika;

(b) dhumuni kwa ujumla kuhusu mkutano huo; na

(c) maelezo mengine kama Waziri atakavyotangaza kwa notisi, mara kwa
mara kwenye gazeti la Serikali, kuainisha.

Ukisoma hapo nilipo-bold; sheria haijasema kuwa ataomba kibali; bali "atawasilisha notisi".. Hii ina maana kuwa atawataarifu polisi na sio kuomba kibali polisi. Then ukiendelea mbele kidogo ndipo utakapoona kwamba polisi wanaweza kuyapinga endapo tu hayo yaliyoanishwa katika sheria (kama uvunjifu wa amani n.k.) yataonekana kutokea.

Changamoto tulizonazo ni kuwa, linaloangaliwa sio swala la uvunjifu wa amani au hayo yaliyoainishwa katika sheria bali "interests za chama tawala".. Hapa ndipo wananchi wanapolalamika. Kwa sababu, baadhi ya viongozi wa CCM wanapofanya maandamano na mikutano ya hadhara huku wakitukana watu kama kina Warioba na Upinzani, hayo siyo maswala ya uchochezi.. Ila wakina mama wakitoa madukuduku yao, ni uchochezi na uvunjifu wa amani..

Lazima pawe na balance ili sheria ionekane kuwa ni sheria and not otherwise.
 
Asante sana kwa kuweka sheria. Ila nikijaribu kuifafanua au kuielewa hiyo sheria uliyoi-quote; naona yafuatayo:

43. (1) Mtu yeyote ambaye ana mpango wa kufanya, kukusanya, kuunda au kupanga mkusanyiko au maandamano ya hadhara , kwa muda usiopungua saa 48 kabla ya mkusanyiko au maandamano kwa muda uliopangwa kuanza, atawasilisha kwa maandishi notisi kuhusu kufanyika kwa mkusanyiko au maandamano hayo kwa afisa polisi msimamizi wa eneo hilo akianisha:-

(a) sehemu na muda ambao mkutano utafanyika;

(b) dhumuni kwa ujumla kuhusu mkutano huo; na

(c) maelezo mengine kama Waziri atakavyotangaza kwa notisi, mara kwa
mara kwenye gazeti la Serikali, kuainisha.

Ukisoma hapo nilipo-bold; sheria haijasema kuwa ataomba kibali; bali "atawasilisha notisi".. Hii ina maana kuwa atawataarifu polisi na sio kuomba kibali polisi. Then ukiendelea mbele kidogo ndipo utakapoona kwamba polisi wanaweza kuyapinga endapo tu hayo yaliyoanishwa katika sheria (kama uvunjifu wa amani n.k.) yataonekana kutokea.

Changamoto tulizonazo ni kuwa, linaloangaliwa sio swala la uvunjifu wa amani au hayo yaliyoainishwa katika sheria bali "interests za chama tawala".. Hapa ndipo wananchi wanapolalamika. Kwa sababu, baadhi ya viongozi wa CCM wanapofanya maandamano na mikutano ya hadhara huku wakitukana watu kama kina Warioba na Upinzani, hayo siyo maswala ya uchochezi.. Ila wakina mama wakitoa madukuduku yao, ni uchochezi na uvunjifu wa amani..

Lazima pawe na balance ili sheria ionekane kuwa ni sheria and not otherwise.


Mkuu huyo jamaa hata ungemuelekeza kwa nyundo bado hatakuelewa sababu ya ushabiki wa vyama,sidhani kama tutafika kama tuna wananchi wa aina ya huyo jamaa ni tabu tupu.
 
Sasa unapozuiliwa kwa kusababisha hizo njia zisipitike kwa nini ukomalie kuandamana? Acha akanyee debe tu, tumechoka na vurugu, hatupumui!

Sheria inapaswa kuwa msumeno.. Kama maandamano ya amani ya upinzani au asasi zingine yanaonekana ni uchochezi wenye kuvunja amani; basi na yale maandamano ya chama tawala na mikutano yao ya hadhara ambayo imejaa maneno ya kashfa kwa upinzani na baadhi ya waliokuwa viongozi waandamizi wa nchi hii yachukuliwe the same way..

Baba nyumbani akishindwa kuonyesha maadili then tegemea watoto nao wasionyeshe maadili... Na kwa hali hii baba hategemewi kuwapiga wanae kwa kufanya mambo ambayo naye pia anayafanya....
 
Asante sana kwa kuweka sheria. Ila nikijaribu kuifafanua au kuielewa hiyo sheria uliyoi-quote; naona yafuatayo:
43. (1) Mtu yeyote ambaye ana mpango wa kufanya, kukusanya, kuunda au kupanga mkusanyiko au maandamano ya hadhara , kwa muda usiopungua saa 48 kabla ya mkusanyiko au maandamano kwa muda uliopangwa kuanza, atawasilisha kwa maandishi notisi kuhusu kufanyika kwa mkusanyiko au maandamano hayo kwa afisa polisi msimamizi wa eneo hilo akianisha:-

(a) sehemu na muda ambao mkutano utafanyika;

(b) dhumuni kwa ujumla kuhusu mkutano huo; na

(c) maelezo mengine kama Waziri atakavyotangaza kwa notisi, mara kwa
mara kwenye gazeti la Serikali, kuainisha.

Ukisoma hapo nilipo-bold; sheria haijasema kuwa ataomba kibali; bali "atawasilisha notisi".. Hii ina maana kuwa atawataarifu polisi na sio kuomba kibali polisi. Then ukiendelea mbele kidogo ndipo utakapoona kwamba polisi wanaweza kuyapinga endapo tu hayo yaliyoanishwa katika sheria (kama uvunjifu wa amani n.k.) yataonekana kutokea.

Changamoto tulizonazo ni kuwa, linaloangaliwa sio swala la uvunjifu wa amani au hayo yaliyoainishwa katika sheria bali "interests za chama tawala".. Hapa ndipo wananchi wanapolalamika. Kwa sababu, baadhi ya viongozi wa CCM wanapofanya maandamano na mikutano ya hadhara huku wakitukana watu kama kina Warioba na Upinzani, hayo siyo maswala ya uchochezi.. Ila wakina mama wakitoa madukuduku yao, ni uchochezi na uvunjifu wa amani..

Lazima pawe na balance ili sheria ionekane kuwa ni sheria and not otherwise.

Noted.Thanks kwa darasa
 
Magereza ataionja na ile kitu ataionja pia akiwa magereza. Kama alivyo onjeshwa lema na kileo.
 
Kwa sera za Maandamano CHADEMA wanaongoza!.

CHADEMA hawana agenda mbadala za kitaifa zitakazo waweka machoni mwa wananchi wengi, kwa sasa wanachofanya ni kutafuta attention kwa njia zozote.

Who cares about BAWACHA.

Halima Mdee na BAWACHA yake anadhani style ya maandamano yasiyopata go ahead ya polisi BAWACHA watapata positive coverage.

Kwa Akili kama hizi ndio mana watanzania tunaburuzwa na viongozi... Sio kwasababu hatujui kama wanatukosea, wanavunja sheria, wanafuja rasilimali za uma bali kwasababu tuna kubali kuburuzwa.. tuna mawazo finyu sana...
 
Back
Top Bottom