Kamanda Kova: Tutamfikisha Halima Mdee mahakamani

Kamanda Kova: Tutamfikisha Halima Mdee mahakamani

SelemanKova.jpg

Nijuavyo mimi mtu akiwa na makengeza hawezi kuwa askari,sasa sijui kova aliwezaje kua askari kama hakutoa kitu kidogo!

Acheni kumpakazia Kamanda Kova!!
 
Agenda sii ni zile ambazo CCM huwa wanaziiga? Kulikuwa na suala la katiba na halikuwa agenda ya CCM, wameiga lakini utekelezaji wake ni mizengwe mitupu. Kutoa Elimu bure CCM walipinga sasa eti ndio wanazungumzia. Kuwezesha wananchi kujijengea nyumba bora kwa kuhakikisha vifaa vya ujenzi vinashuka bei nayo CCM eti ndio wanaanza kuongelea.
Suala la maandamano lipo dunia nzima na sehemu nyingi ndilo lililoleta mabadiliko na hata kuondoa serikali dhalimu madarakani ila hapa Polisi wetu kwa vile upeo wao wa kuelewa na mkuu wao anateuliwa moja kwa moja na mkuu wa nchi ambaye ni mwenyekiti wa Chama tawala wanatumika kukandamiza demokrasia.

Ndugu,
Chama chochote ambacho hakiendi na wakati ndani ya matumaini ya wananchi ni chama mfu.

Kama CCM ingekuwa haina sera zinazotekelezeka ambazo zinazoenda na matumaini ya wananchi, basi kwa ingekuwa ni chama cha upinzani.

Kwa nini hao wenye sera unazodai CCM wameiga hawakukabidhiwa nchi. Kwa nini kimepewa nchi chama ambacho kazi yake ni kuiga sera za vyama vingine.

Huoni kama hoja yako haina mantiki.

CCM inaenda na wakati katika kazi zake za kulijenga taifa endelevu.
 
Wewe hujui siasa kama vile CDM na ndiyo maana mtalalama lakini ikulu mtaambulia kualikwa kwenda kunywa juisi siku ambayo mshindi wa CCM atakapoamua kuwaalika. Kiongozi wa siasa kazi yake ni kuhimiza wananchi washiriki kwenye shughuli za maendeleo siyo kufanya mwenyewe, bali katika kuhamasisha lazima awe karibu na wananchi kitu ambacho CDM na wapinzani wengine kimewashinda. Wananchi wenyewe wanajua hilo hawahitaji hata kukumbushwa. CDM wenyewe wanaandama tu kwenye barabara za lami ambazo zimejengwa na serikali ya CCM huku wakiidharau na kuikejeli. Hawataki kwenda kujenga mizizi ya chama karibu na wananchi. Hivyo walie tu.
umeshindwa kuleta vielelezo badala yake umeleta povu ! Utamdanganya nani humu jf wewe ?
 
Kwa sera za Maandamano CHADEMA wanaongoza!.

CHADEMA hawana agenda mbadala za kitaifa zitakazo waweka machoni mwa wananchi wengi, kwa sasa wanachofanya ni kutafuta attention kwa njia zozote.

Who cares about BAWACHA.

Halima Mdee na BAWACHA yake anadhani style ya maandamano yasiyopata go ahead ya polisi BAWACHA watapata positive coverage.

Mtu yeyote mwenye akili timamu hawezi kuwaza ama kuandika pointless kama hii uliyoandika wewe. Halafu bila aibu ccm inajisifia kwamba ina viongozi vijana makini my foot! huu ndio umakini gani wa kushindwa kutambua vitu vidogo sana ambavyo havimuhitaji mtu kwenda hata darasa la kwanza kuvifahamu.
 
Mtu yeyote mwenye akili timamu hawezi kuwaza ama kuandika pointless kama hii uliyoandika wewe. Halafu bila aibu ccm inajisifia kwamba ina viongozi vijana makini my foot! huu ndio umakini gani wa kushindwa kutambua vitu vidogo sana ambavyo havimuhitaji mtu kwenda hata darasa la kwanza kuvifahamu.

nasikia wewe ndio m2 ni kweli mkuu?
 
Ndugu,
Chama chochote ambacho hakiendi na wakati ndani ya matumaini ya wananchi ni chama mfu.

Kama CCM ingekuwa haina sera zinazotekelezeka ambazo zinazoenda na matumaini ya wananchi, basi kwa ingekuwa ni chama cha upinzani.

Kwa nini hao wenye sera unazodai CCM wameiga hawakukabidhiwa nchi. Kwa nini kimepewa nchi chama ambacho kazi yake ni kuiga sera za vyama vingine.

Huoni kama hoja yako haina mantiki.

CCM inaenda na wakati katika kazi zake za kulijenga taifa endelevu.

Kwenda na wakati kunahitaji utafiti wa hicho unachotaka kukifanya ambacho hapo awali ulikuwa hukikubali ama hukifanyi.

Sasa nyie magamba mmekurupuka tu kuvamia vitu msivyoviju na hamkuwahi kuvifanyia utafiti mwisho wake mnavifanya kwa akili ndogo na kuviharibu.

Mlipinga kuwa nchi haihitaji katiba mpya, ghafla mwenyekiti wenu akakurupuka kuanzisha mchakato mwisho wake nchi imegawanyika mmepitisha katiba mpyaya ccm badala ya katiba ya wananchi.

Mlipinga kusomesha bure watoto wa kitanzania lakini sasa mmekurupukia hoja msiyoifanyia utafiti nayo itawashinda katika utekelezaji.

Mlipinga wananchi kuwezeshwa kujenga makazi bora kwa kupunguza kodi na ushuru katika vifaa vya ujenzi ili wananchi wavinunu kwa bei ya chini lakini sasa mmeikurupukia hoja hiyo bila utafiti na kutaka kui-implemennt matokeo yake mtauvuruga uchumi wa nchi kwakuwa hamjui mnachotakiwa kufanya ili kuweka balancing katika kuwawezesha wananchi na kutoathiri mapato ya serikali.

Wazee wa kukurupuka mtaendelea kukurupuka tu na kucopy vitu msivyovijua na wala msivyovifanyia utafiti na matokeo yake mtaishia kupata matokeo mabaya sasa(Bad Results Now-BRN).
 
Hivi Halima Mdee alishajisafishaga kwenye zile kashfa ambazo zilivuma sana mwaka juzi? Naona anachokifanya kuwatunishia misuli polisi kinashabihiana na kashfa zile

Lizaboni unanikumbusha mbali sana enzi za kupanga foleni kununua sabuni, sukari,unga,mikate nk kutoka shirika la taifa la usagaji (NMC)
 
Mtu yeyote mwenye akili timamu hawezi kuwaza ama kuandika pointless kama hii uliyoandika wewe. Halafu bila aibu ccm inajisifia kwamba ina viongozi vijana makini my foot! huu ndio umakini gani wa kushindwa kutambua vitu vidogo sana ambavyo havimuhitaji mtu kwenda hata darasa la kwanza kuvifahamu.
Wewe ri Mwita Maranya uritorokea wapi?
Ri geshi ririkuwa rinakutafuta!!!!
 
Last edited by a moderator:
Kwa sera za Maandamano CHADEMA wanaongoza!.

CHADEMA hawana agenda mbadala za kitaifa zitakazo waweka machoni mwa wananchi wengi, kwa sasa wanachofanya ni kutafuta attention kwa njia zozote.

Who cares about BAWACHA.

Halima Mdee na BAWACHA yake anadhani style ya maandamano yasiyopata go ahead ya polisi BAWACHA watapata positive coverage.

Ila wewe una sera mbadala, nayo ni kuwapasha wafanyakazi wa umma ndiyo wanasababisha nchi hii kuwa masikini, tofauti na ya bosi wako aliyesema hajui kwa nini nchi hii ni masikini.
Aibu kwa chama kikubwa kama ccm kukosa coordinated matamko, na hii ni clear indication kuwa chama kiko on the verge of total destruction na hii Rasimu ya Chenge na Sitta ni catalyst tosha ya kukiondoa hiki chama na kukipeleka to hell!!
 
Sasa mbona umekaa kwenye kompyuta unaandika andika ovyo tu!

Mbona wewe hauko mahakamani na Kova ili mumfunge Mdee kama mlivyoahidi badala yake mnajificha kwenye keyboard hapo lumumba na computer zenu za msaada toka china huku mkipost ujinga mlionao kichwani mwenu.
 
Back
Top Bottom