Msalagambwe
JF-Expert Member
- Jul 11, 2012
- 713
- 263
What do you mean?
kama kweli ulimboka alipata kipigo mpaka kupelekwa nje angewezaje kutambua?
kama kweli ulimboka alipata kipigo mpaka kupelekwa nje angewezaje kutambua?
mkuu ndo lile sakata la James Isame?Usishangae ndiyo maana polisi wengi wakishastaafu maisha yao huwa yanakuwa ya dhiki sana sababu ya laana mbalimbali wanazokuwa wamekusanyaMimi nilipoteza imani na polisi pale walipoleta kichwa cha albino na kukiweka chooni kwa baba hapa kawe saa nane usiku then wanaenda kumuamsha kuja kukagua, hii ni baada ya mzee kukataa kuwaingiza kwenye payroll huku biashara yake ni halali. Cha kushangaza ambacho bado najiauliz ni je kichwa wametoa wapi? Wanakitunza kwanini? Hawa wana usalama kwa nini wanatumia miili ya watu kubambikia wengine kesi? Kwa kweli inatia aibu sana kwa jeshi la polisi, hivi polisi wote wamechanganyikiwa? Sina jibu
Hofu yangu ni ukanjanja,usanii,magumashi ya Kova yasije kuteletea matatizo ya Kidiplomasia na Kenya nchi jirani,kashawapakazia kwamba wana kundi hatari linajiita Gangstar
Mimi nilipoteza imani na polisi pale walipoleta kichwa cha albino na kukiweka chooni kwa baba hapa kawe saa nane usiku then wanaenda kumuamsha kuja kukagua, hii ni baada ya mzee kukataa kuwaingiza kwenye payroll huku biashara yake ni halali. Cha kushangaza ambacho bado najiauliz ni je kichwa wametoa wapi? Wanakitunza kwanini? Hawa wana usalama kwa nini wanatumia miili ya watu kubambikia wengine kesi? Kwa kweli inatia aibu sana kwa jeshi la polisi, hivi polisi wote wamechanganyikiwa? Sina jibu
Rest in Peace Kova
Hivi ubalozi wa kenya wameshamtambua huyo 'MTEKAJI' kuwa ni kweli raia wao na wana records zake za uhalifu? manake naona kitambulisho cha uraia kimetolewa 2010, Umri bado mkanganyiko 21 au 31. Kama 21 ina maana kitambulisho kilitolewa akiwa na miaka 19 sheria za kenya za vitambulisho vya uraia inasemaje? kama ni 31 je muda wote alikuwa wapi kupata kitambulisho cha uraia.
Mimi nilipoteza imani na polisi pale walipoleta kichwa cha albino na kukiweka chooni kwa baba hapa kawe saa nane usiku then wanaenda kumuamsha kuja kukagua, hii ni baada ya mzee kukataa kuwaingiza kwenye payroll huku biashara yake ni halali. Cha kushangaza ambacho bado najiauliz ni je kichwa wametoa wapi? Wanakitunza kwanini? Hawa wana usalama kwa nini wanatumia miili ya watu kubambikia wengine kesi? Kwa kweli inatia aibu sana kwa jeshi la polisi, hivi polisi wote wamechanganyikiwa? Sina jibu
Rest in Peace Kova
Sisi watanzania tunakosea kumhukumu Kova kwa swala hili la Joshua Mkenya kuhusika na tukio la Ulimboka. Tunamuonea Kova
1. Ni utamaduni wa serikali hii kupika uongo na kudanganya wananchi kuhusu mambo mbalimbali. Hata Bunge hudanganywa
2. Ni utamaduni wa Polisi kubambika watu kesi za mauaji na uharamia.
3. Kova amekuwa mara kwa mara akiitisha mikutano na waandishi aw habari kutangaza habari za uongo za kukamatwa majambazi "sugu waliokuwa wanatafutwa muda mrefu" Anachukua silaha za ujambazi uliofanyika zamani anaonesha kana kwamba ndo kazikamata. Ili aonekane anafanya kazi yake kwa umahiri. Ujambazi unaongezeka hadi wananchi wamezoea hawalalamiki tena
4. Jeshi la Polisi kwa ujumla halipelelezi kesi bila mlalamikaji kutoa pesa na nyenzo nyingine. Nani ataliwezesha jeshi la Polisi kupeleleza tukio la Ulimboka? Je, jeshi la Polisi lina ujuzi wa kupeleleza au kutesa watu wakiri makosa?
5. Jeshi la Polisi linatuhumiwa kuhusika na tukio la Ulimboka, mnatarajia Kova anaweza kupeleleza Msangi kama ndiye aliyemtuma Msangi?
Kwa maelezo hayo hapo juu, namsifu sana Kova kwa ubunifu aliofanya wa kutupatia mtuhumiwa Mkenya na kulihusisha kanisa. Nahisi Kova aliumoza kichwa sana na amejitahidi kutafuta namna ya kulinausua jeshi la Polisi na serikali.
Kwanini tuhangaike kutafuta kujiuliza kam Kenya kuna watu wenye tabia ya uharamia na mauaji wakati tunajua hivyo tayari, Mungiki, Mauaji baada ya Uchaguzi etc
Kwa nini tuhangaike kuhoji uadilifu wa viongozi wa dini? Kwa nini kiongozi huyo wa dini asifurahi kwamba serikali imemshukuru kwa kutoa ushirikiano?
Tunafanya makosa kumtuhumu Kova kudanganya leo wakati ndiyo utendaji wa kazi aw kawaida siku zote, penda usipende
Endelea Kamanda Kova, I salute you!
mkuu mleta mada umemalizia kwa kumwambia aendelee na kazi yake unayoiita nzuri?unadhani kama anasoma hapa anaweza kuchambua na kuelewa unavyotaka aelewe?nimependa bandiko,ila huo utani wakati ishu ni hatari na maisha ya watu hatarini ni noma.sasa hata kama tunataka kulifix jeshi la polisi,akiachwa aendelee ndo jambo la maana?accountability is the key to the changes that we want.it is the begining...kova amekosea and my opinion;he should resign!