Kamanda Kova asilaumiwe!


ni mchungaji wa kanisa la ufufuo mkuu na si padre kama ulivyoandika
 
Ni makosa kumtia kova moyo ili atudanganye si vyema hata kidogo, ni vyema aende nae akatubu msikitini kwa kuudanganya umma wa Watanzania hapana kova omba watanzania msamahaa
 
kaka kova anapenda sana sifa na kuonekana kwenye vyombo vya habari ndio maana akisikia kitu htafakari yeye ni kukurupuka tu

anatumiwa na hayuko huru kiufahamu
 
Kama ni mkweli ndani ya moyo wake anangoja nini kujiuzulu? Unatushauri tumtie moyo iliaendelee kuidanganya nafsi yake! Hapana hiyo haiwezekani! alaaniwe yeye na mafisadi wanao mtumia.
 
Hata kama anatumiwa inafika mahali inabidi uchanganye na zako siyo kamanda mzima unasema mliye mkamata ni GANGSTAR MZOEFU wa kuteka na kuuwa wakati hakuna record yoyote ya kipolisi inayo mhusu huko kwao, INTERPOL Wala Tanzania.halafu unasema alikwenda kutubu gangstar anamjua MUNGU?
 
Nimeshindwa kuiona ile habari iliyotolewa hapa ya kuwa linaandaliwa jambazi sugu kuhusika na tukio la Ulimboka.
Limetokea, walichobadilisha ni kuchakachua kidogo na kuleta jambazi la Kenya.

Katika habari ile, jambazi hilo lililoandaliwa linauwawa, kwa hivyo huyu Joshua anaweza kuuwawa. Wakisoma au wakinong'onezwa habari hii, wanaweza wasimuue, bali tukasikia limetoroka gerezani/limesaidia kutoroka.

Tamthilia inaendelea wiki ijayo
 
Ajiuzulu tu, atajuana na Sheikh wake Msikitini kwao
Ni makosa kumtia kova moyo ili atudanganye si vyema hata kidogo, ni vyema aende nae akatubu msikitini kwa kuudanganya umma wa Watanzania hapana kova omba watanzania msamahaa
 

dance mia miaaaaa...
 
 
Sisi watanzania tunakosea kumhukumu Kova kwa swala hili la Joshua Mkenya kuhusika na tukio la Ulimboka. Tunamuonea Kova

1. Ni utamaduni wa serikali hii kupika uongo na kudanganya wananchi kuhusu mambo mbalimbali. Hata Bunge hudanganywa
2. Ni utamaduni wa Polisi kubambika watu kesi za mauaji na uharamia.
3. Kova amekuwa mara kwa mara akiitisha mikutano na waandishi aw habari kutangaza habari za uongo za kukamatwa majambazi "sugu waliokuwa wanatafutwa muda mrefu" Anachukua silaha za ujambazi uliofanyika zamani anaonesha kana kwamba ndo kazikamata. Ili aonekane anafanya kazi yake kwa umahiri. Ujambazi unaongezeka hadi wananchi wamezoea hawalalamiki tena
4. Jeshi la Polisi kwa ujumla halipelelezi kesi bila mlalamikaji kutoa pesa na nyenzo nyingine. Nani ataliwezesha jeshi la Polisi kupeleleza tukio la Ulimboka? Je, jeshi la Polisi lina ujuzi wa kupeleleza au kutesa watu wakiri makosa?
5. Jeshi la Polisi linatuhumiwa kuhusika na tukio la Ulimboka, mnatarajia Kova anaweza kupeleleza Msangi kama ndiye aliyemtuma Msangi?

Kwa maelezo hayo hapo juu, namsifu sana Kova kwa ubunifu aliofanya wa kutupatia mtuhumiwa Mkenya na kulihusisha kanisa. Nahisi Kova aliumoza kichwa sana na amejitahidi kutafuta namna ya kulinausua jeshi la Polisi na serikali.

Kwanini tuhangaike kutafuta kujiuliza kam Kenya kuna watu wenye tabia ya uharamia na mauaji wakati tunajua hivyo tayari, Mungiki, Mauaji baada ya Uchaguzi etc

Kwa nini tuhangaike kuhoji uadilifu wa viongozi wa dini? Kwa nini kiongozi huyo wa dini asifurahi kwamba serikali imemshukuru kwa kutoa ushirikiano?

Tunafanya makosa kumtuhumu Kova kudanganya leo wakati ndiyo utendaji wa kazi aw kawaida siku zote, penda usipende

Endelea Kamanda Kova, I salute you!
 
Dah hii nitafiti nzuri..ila nilichokiona ni kukubali kuwa wametudanganya!
 
Gurudumu,

Hii serikali pamoja na taasisi zake ilishakuwa irrelevant zamani, ila wali-bank kwenye ujinga na woga ambao sehemu kubwa ya jamii inao. Pia walitumia mass disinformantion and missinformation strategies by CCM mouth-pieces kuficha madhaifu yao.

Fast foward, sasa mambo yako hadharani, wananchi wanaendelea kuamshwa na wanaamka so karibu patapambazuka na tutaanza ukurasa mpya wenye matumaini ya kweli.

Kama uliyoainisha, Kova kama ma-RPC wengine, ni sehemu ya mtandao mpana wa uhalifu PT na nchini. Ulianzishwa na akina Mahita na umeenea karibu nchi nzima. Ni bahati mbaya kuwa waTz ni wasahaulifu sana na hatupendi kuchukua hatua hata baada ya kujiridhisha na facts. Hope will come to an abrupt end.
 
Unaweza kumtambua anavyodanganya kwa kutazama yale macho yake.
 
Mkuu mleta mada umemalizia kwa kumwambia aendelee na kazi yake unayoiita nzuri?unadhani kama anasoma hapa anaweza kuchambua na kuelewa unavyotaka aelewe?nimependa bandiko,ila huo utani wakati ishu ni hatari na maisha ya watu hatarini ni noma.Sasa hata kama tunataka kulifix jeshi la polisi,akiachwa aendelee ndo jambo la maana?Accountability is the key to the changes that we want.It is the begining...Kova amekosea and my opinion;he should resign!
 
Kova mwisho wake umekaribia ajue si kile kizazi cha Zamani
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…