Kamanda Kova asilaumiwe!

Kamanda Kova asilaumiwe!

Ninachosema ni kuwa "Tuwe waangalifu na uchaguzi wetu maishani", ukichagua kuolewa kuzaa ni wajibu! Wala hautalaumiwa kwa kuzaa! The same applies to Kamanda.

enheeeee,,,,,,,,na kulala bila nguo ni faradhi,wacha bhana
 
Ninachosema ni kuwa "Tuwe waangalifu na uchaguzi wetu maishani", ukichagua kuolewa kuzaa ni wajibu! Wala hautalaumiwa kwa kuzaa! The same applies to Kamanda.

Mbona unamtetea sana huyu gamba? Ni nani kwako huyu hadi umtetee kiasi hiki na kwa kipi alichowahi kukifanya miaka ya nyuma mpaka umpigie debe la nguvu kwamba asilaumiwe? au weye ndiye Kova mwenyewe?
 
Huyo nani, kajicho,sijui kovu ni sehemu ya mkakati huu, sio tu kwa sasa bali hata wakati wa kutekwa dr.Ulimboka,hawezi kujinasua,ni sehemu ya kikosi kazi, kwani hili la kwanza kwa kova!???
yeah,anaitwa AL-HAJI KOVA,OVA
 
Mbona unamtetea sana huyu gamba? Ni nani kwako huyu hadi umtetee kiasi hiki na kwa kipi alichowahi kukifanya miaka ya nyuma mpaka umpigie debe la nguvu kwamba asilaumiwe? au weye ndiye Kova mwenyewe?

No Comment!
 
ni upepo, utapita tu! Kamanda kaza buti

what goz around kams araundi,,,,hatujui babake uli na familia kwa ujumla wanawaza nini????,,,,,,hawaitaichukia serikali but hata mtu mmoja mmoja,inkluding KAMANDA
 
Asiishie kulaumiwa tu, ALAANIWE kabisa. Nani kamwambia kukubali kubeba udhaifu wa Dhaifu?
 
No Comment!

Ni aje? Funguka banaa!
A%20S%20114.gif

 
Sidhani kama ana wakati mgumu angeachia ngazi kama angekuwa hataki kutumika kwa vile na yeye anapenda kutumika ndo sababu ya yeye kuonekana mjinga mpaka sasa hivi.

Mimi binafsi simwonei huruma kwani hakuzaliwa kamanda kwa hiyo bado anaweza kuwa na maamuzi tofauti na hayo. Na utamutiaje mtu moyo ambaye hajitambui na amekumbatia uongo?

Wangemfanya nini angekataa kutumika halafu akajiuzulu akatafuta ustaarabu mwingine?

Alichokionyesha ni udhaifu mkubwa na yuko desparate sana
 
Kama kuna Mwana JF liyepiga picha ya huyu Mkenya wa Kova na ana picha ya huyu Msangi, napendekeza zote zipelekwe kwa Dr Ulimboka huko Afrika Kusini.

Ulimboka anaweza kututhibitishia aliyemteka na kumtesa.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Kama kuna Mwana JF liyepiga picha ya huyu Mkenya wa Kova na ana picha ya huyu Msangi, napendekeza zote zipelekwe kwa Dr Ulimboka huko Afrika Kusini.

Ulimboka anaweza kututhibitishia aliyemteka na kumtesa.

ya msangi imewah kuletwa hapa,,,ya mkenya hata kwenye gazeti haijawah kuletwa
 
Kama kuna Mwana JF liyepiga picha ya huyu Mkenya wa Kova na ana picha ya huyu Msangi, napendekeza zote zipelekwe kwa Dr Ulimboka huko Afrika Kusini.

Ulimboka anaweza kututhibitishia aliyemteka na kumtesa.

Wazo zuri sana hili...una akili sana weye Kilasara. Polisi magamba hawatakuwa tayari kulifanya hili maana wanajua fika Dr Ulimboka atasema huyo jamaa aliyebambikiwa kesi hauhusiki kabisa na hivyo usanii wa Polisi magamba utazidi kubumbuluka.
 
Haiingii akilini jambazi la kenya kuja kuendesha gari bila namba tanzania
 
Ni aje? Funguka banaa!
A%20S%20114.gif



"Namtetea kwa kuwa katika wakati mgumu tukipata wa kututia moyo, huwa ni rahisi moyo kurudi nyuma na kuwa mwanadamu tena. You never know, anaweza akaamua kueleza ukweli wote anapojua kuwa tunaelewa anayo pitia! Ni nature yetu wanadamu"
 
Naona Kova ajiandae kujiuzulu tu, asitake kuleta ubishi kama Pinda, siku zao zinahesabika!
 
"Namtetea kwa kuwa katika wakati mgumu tukipata wa kututia moyo, huwa ni rahisi moyo kurudi nyuma na kuwa mwanadamu tena. You never know, anaweza akaamua kueleza ukweli wote anapojua kuwa tunaelewa anayo pitia! Ni nature yetu wanadamu"

DHAIFU Kova!!! Kama unataka kuanika ukweli hadharani basi wakati wa kufanya hivyo ni sasa usingoje wakati umeshang'atuka ndio ukaamua kufunguka.
 
Tunataka ifikie hatua akiri analazimishwa, kutumwa na baadhi ya viongozi wakubwa kufanya mambo fulani ili kuipotosha, kuidanganya jamii, kama yule wa Tume ya Uchaguzi wa Kenya kwenye yale matokeo ya Uchaguzi yaliyoleta fujo, baada ya kuona mambo yanaweza kuja kumharibikia sana baadae, alikiri kulazimishwa kusoma matokeo yaliyopindishwa mpaka kumfanya Kibaki ndiye Mshindi, wananchi wa Kenya walimpania, wangemuua, ndio maana alikimbilia nje ya nchi kwa muda
Ndugu wanaJF, humu ndani kumejaa lawama na laana kwa kamanda wetu kipenzi, Kova. Najua uchungu uliopo mioyoni mwa watz wengi. Lakini tujiulize au tuvae viatu vya kamanda wetu;
- Je mwenyewe alipenda alicho kitangaza?
- Hakujua mwitikio wa watz utakuwaje?
- Je yeye ni mjinga?

Hakika majibu yetu sote ni HAPANA!

Kwa nini sasa?

ANA WAKATI MGUMU MAISHANI MWAKE KAMA KAMANDA!!! Tumtie moyo tu. Au mnadhani sikio linaweza kupita kichwa?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom