huyu elimu yake itakuwa kiwango gani?
siku 40 za kutoandika habari za polisi zimeisha au zilipunguzwa?
standard 7 falier!
Mzee Mwanakijiji,Watu wengine bana; sasa kama anachosema ni kweli kwanini wamempendesha yule bwana mdogo kizimbani?
tuwatwale mitwe.
kwa nini waandishi wa habari huwa mnawaauliza hawa mnaowauliza maswali mwongozo? kwa nini usimuulize ni makosa gani ambayo yanapaswa mtu akawajibika kama alivyosema kuna makosa ya kuwajibika?
Tulizipunguza kidogo mkuu.
Mzee Mwanakijiji,
- Ile ni scapegoat tuu ili ku defuse hasira za wananchi na international comunity!,
- Polisi wamefanya mauaji Zanzibar kwenye maandamano ya CUF, no one ameshitakiwa!.
- Polisi wameua maandamano ya Chadema, Arusha, no ine ameshitakiwa!
- Polisi wameua maandamano ya Chadema, Mbeya, no ne ameshitakiwa!.
- Polisi wameua maandamano ya Chadema, Songea, no one ameshitakiwa!.
- Polisi wameau maandanano ya Chadema, Morogoro, no one ameshitakiwa!.
- Lakini baada ya polisi kuua mwandishi wa habari!, kwenye maandamano ya Chadema, Iringa, sasa ndio someone ameshitakiwa!, hamjiulizi?. Ndio maana nimewaambia its just a scapegoat!.
- Bwana mdogo ameshauriwa akiri kila kitu ili kumuakoa aliyetoa amri!.
- Kesi inageuzwa from murder to manslaughter!
- Na itasikilizwa kwa siku tuu na kusubiri hukumu!.
- Kutokana na public interest, hukumu itatolewa mapema, tena kali!.
- Ataondoshwa as if anaenda kutumikia kifungo, ataachiwa, atahamishwa, ata badili jina na kupangiwa kazi nyingine!.
Pasco.
Nazani damu ya Mwangosi imeanza zaa matunda maana mzee keshaanza changanyikiwa CDM walikuwa na mkutano wa ndani yeye anaongelea maandamano!
Kamanda ni busara kukaa kimya otherwise unaaribu
Alafu na huyu mwandishi yuko shallow na hakujiandaa kabisa au ndo uko katika harakati za kumsafisha Kamudandu?
hakika comrade ukanjanja ndio unaotuumiza wakishapokea bahasha bhaaaaaaaaaaaaaaas ni baadhi lakinimi ningemuuliza 'KAMA MNALINDA RAIA NA MALI ZAO,MBONA MMEUA?,SWALI LA PILI KAMA ISHU NI UTII BILA SHURUTI JE MWANGOSI ALIKUA ANAANDAMANA AU ANATEKELEZA WAJIBU WAKE KAMA WEWE?'
TATIZO LA WAANDISHI MAKANJANJA HILO
ni kweli comrade hii nchi isha haribikiwa kabisa ni ya kitu kidogo makanjanja wanaidhalilisha fani ya uandishi wa habari.
Njaa mbaya sana. Waandishi wengi Tanzania wanauliza maswali huku wakiwa wamechora picha ya bahasha ya kaki kichwani.
.
Hapo kwenye red, ni Songea siyo Sumbawanga