πππππ Au tumchangie?
Ngiri ni bora mara mia kuliko Nguruwe anayefugwa na Samia Suluhu hassan kama wewe, ambaye uko hapa kupigania makombo ya chakula unachotupiwa na huyo Samia.Jana unaweza kusoma alichoandika nguruwe na wewe ni nguruwe pia. Au wewe ni ngiri?
Mwigulu ni kielelezo cha ubovu wa CCM ulipofikia.Kachezewa shere! Aliwahi kutamka kwamba yeye ndio waziri wa fedha mpaka 2030 na baada ya hapo atagombea urais
Ametanguliza hisia mbele Zaidi ndio maana ameishia kuchamba Zaidi kuliko kutoa hotuba.Mie huwa najiuliza kuwa hotuba si anaandikiwa? Vipi huwa hazichujwi kabla ya kufika sehemu ya kutamkwa? Je yeye binafsi hawezi chuja ni atamke na nn aache??
Hata uniite Muislamu kwenye JF, physically na real life nitabaki Roman Catholic. Ruhusu akili yako ikubali mawazo mbadalaNaomba nikupuuze ndugu muislam!
Kitima ni Katibu wa TEC tu siyo Katibu wa TanzaniaKulilia au kupigania uhai wa watu kupotezwa kupitia kutekwa and the like ndiyo siasa?
Kwa nini alifungie? Tutasali wapi waumni zaidi ya 12 Milioni tuliopo Tanzania?Mwambie kilaza wa kimataifa Samuya ajaribu hata kwa bahati mbaya alifungie Kanisa Katoliki kama alivyofanya uhuni kwa Gwajima, ndio atajua anapokea maelekezo au hapokei.
Kumbe kuongea ukweli ni siasa ila kuongea uongo ndo sio siasa???π€£π€£π€£π€£π€£π€£TEC iko kuanzia miaka ya mkoloni 1956 na imekuwa na ma Katibu Wakuu wengi tu. Lakini Katibu Mkuu Fr Charles Kitima ndiye maarufu. Umaarufu wake unatokana na kujikita kwenye siasa badala ya kazi ya kuongoza roho za waumini wa RC.
Ni bora tu avue kanzu avae magwanda ya khaki kama Lissu na Dr Slaa halafu aje apambane na wanasiasa wenzie. Waumini tunatoa sadaka na zaka kwa ajili ya kujenga janusa ikiwa ni pamoja na kuwatunza mapadre wetu. Lakini huyu Kitima anatumia sadaka zetu kutetea itikadi yake ya kisiasa
TEC iko kuanzia miaka ya mkoloni 1956 na imekuwa na ma Katibu Wakuu wengi tu. Lakini Katibu Mkuu Fr Charles Kitima ndiye maarufu. Umaarufu wake unatokana na kujikita kwenye siasa badala ya kazi ya kuongoza roho za waumini wa RC.
Ni bora tu avue kanzu avae magwanda ya khaki kama Lissu na Dr Slaa halafu aje apambane na wanasiasa wenzie. Waumini tunatoa sadaka na zaka kwa ajili ya kujenga janusa ikiwa ni pamoja na kuwatunza mapadre wetu. Lakini huyu Kitima anatumia sadaka zetu kutetea itikadi yake ya kisiasa
Ninajua kuwa Dr Slaa alikuwa Katibu Mkuu wa TEC hadi mwaka 1990 wakati wa ziara ya Pope John Paul II. Ninajuwa pia kuwa Dr Slaa ni mzazi mwenzie na Rose Kamili aliyekuwa mwanasiasa wa CHADEMA kutoka Hanang na kwamba alizaa watoto akiwa bado Padre.Unajifanya unalijua kanisa katoliki sana lakini ukweli uko wazi kuwa hulijui : wala historia ya TEC huifahamu!! Kukuonesha tu kuwa huifahamu historia ya TEC nitakuuliza swali jepesi ; Je unafahamu kuwa Dr. Wilbrod Slaa , katibu Mkuu Mstaafu wa Chadema aliwahi kuwa katibu mkuu wa TEC?
Sometimes keeping quiet is better than shouting only to show your ignorance!
Mitano tena kwa Samia hadi 2030Sikutegemea ungekuwa nguruwe hapo mwanzo. Kumbe ulipakwa wanja na 'lipstick' na huyo mfugaji wako Samia uonekane unapendeza wakati ule ili uje JF kumfanyia ulaghai ambao ndiyo kawaida yake maisha yake yote!
Baada ya hadaa na uongo mwingi na mauaji yote yaliyofanyika, sura yake halisi, na wewe mfugo wake (nguruwe) vimeonekana bayana.
Kabisa. Nahisi hawakuamini masikio yao.. Ni aibu sana ilikuwaKwa hotuba ya jana ya Samuya, amewaweka kwenye wakati mgumu sana wasaidizi wake (mawaziri, wakuu wa mikoa n.k), maana walikuwa washaanza kucheza na saikolojia za watu na kumtenganisha mkuu wao na yale mauaji na kuhalalisha haramu, ila amekuja mwenyewe kavuruga vuruga, sijui watamlinda kwa maneno ganiβ¦ndo maana wakati anaropoka pale mbele Nchimbi na Mwigulu waliinamisha vichwa..ni aibu tupu
Nyie machawa ndio mnawafanya watu kuwa maarufu. Mimi masuala ya dini sifatilii, sijawahi kumjua kiongozi yoyote wa TEC. Infact hata hiyo press ya Kitima sikuiangalia kuanzia mwanzo. Baada ya mayowe ya CCM na nyie chawa ndio nikamjua uyo Kitima nakutafuta hiyo pressyake nijue aliongea nini.TEC iko kuanzia miaka ya mkoloni 1956 na imekuwa na ma Katibu Wakuu wengi tu. Lakini Katibu Mkuu Fr Charles Kitima ndiye maarufu. Umaarufu wake unatokana na kujikita kwenye siasa badala ya kazi ya kuongoza roho za waumini wa RC.
Ni bora tu avue kanzu avae magwanda ya khaki kama Lissu na Dr Slaa halafu aje apambane na wanasiasa wenzie. Waumini tunatoa sadaka na zaka kwa ajili ya kujenga kanisa ikiwa ni pamoja na kuwatunza mapadre wetu. Lakini huyu Kitima anatumia sadaka zetu kutetea itikadi yake ya kisiasa
Wakumbushe hao mashehe ubwabwa: huyo mtumishi aliyenyooka anaitwa Father Kitima, sio Kitime!Padri Kitime kanyooka Sana! Hakutaka konakona wala pindapinda kama pindo la kanikiπππΏ
Kaweka wazi, ulikuwa mwaliko binafsi na mazungumzo yalikuwa binafsi! Hasa ikizingatiwa wanatoka sehemu moja
Alimpigia simu akimuomba afike ofisini naye akatii, wakaongea pia yaliyotokea October 29 na way forward! 'Lakini yalikuwa mazungumzo binafsi' kwa maana ambayo haikunenwa ilikuwa ni personal consultation
Mjamaa alikuwa anataka aibiwe siri pia baraza linasemaje huko.. Padre Kitima kaweka wazi pia... Jamaa ana mahusiano mazuri ya kitambo na wao!π
Padre hakutaka kuonekana mzushi na ndumilakuwil! Hii ni kwa maslahi yake binafsi, taasisi anayoitumikia na nafasi aliyo nayo! Nyeupe kaita nyeupe na nyekundu kaita nyekundu.. Kafanya vema Sana na maswali yatakoma LAKINI kamharibia mwana vibaya Sana
Pengine kalijua hilo ama la lakini ilibidi ajiponye yeye kabla ya kumponya mwingine.. Bahati mbaya Sana ponya ya mwingine imeponyoka!
Kwa ile press ya jana na namna taasisi ilivyobagazwa unadhani mwanetu muda huu atakuwa na hali gani?
https://www.facebook.com/
View: https://www.facebook.com/share/v/14UdcQxEerj/
Na Bakwata naijua ya Hemed Bin Jumaa Bin Hemed ila ya huyu imejikita kwenye kutetea ujingaTEC iko kuanzia miaka ya mkoloni 1956 na imekuwa na ma Katibu Wakuu wengi tu. Lakini Katibu Mkuu Fr Charles Kitima ndiye maarufu. Umaarufu wake unatokana na kujikita kwenye siasa badala ya kazi ya kuongoza roho za waumini wa RC.
Ni bora tu avue kanzu avae magwanda ya khaki kama Lissu na Dr Slaa halafu aje apambane na wanasiasa wenzie. Waumini tunatoa sadaka na zaka kwa ajili ya kujenga kanisa ikiwa ni pamoja na kuwatunza mapadre wetu. Lakini huyu Kitima anatumia sadaka zetu kutetea itikadi yake ya kisiasa
Sadaka zinatolewa ili padri ale vizuri, ashibe na akemee uovu popote pale unapotendeka,unapofikiriwa na unapopangwa kwa maslahi mapana ya roho za binadamu zenye utambuzi wa MUNGU ndani yao.TEC iko kuanzia miaka ya mkoloni 1956 na imekuwa na ma Katibu Wakuu wengi tu. Lakini Katibu Mkuu Fr Charles Kitima ndiye maarufu. Umaarufu wake unatokana na kujikita kwenye siasa badala ya kazi ya kuongoza roho za waumini wa RC.
Ni bora tu avue kanzu avae magwanda ya khaki kama Lissu na Dr Slaa halafu aje apambane na wanasiasa wenzie. Waumini tunatoa sadaka na zaka kwa ajili ya kujenga kanisa ikiwa ni pamoja na kuwatunza mapadre wetu. Lakini huyu Kitima anatumia sadaka zetu kutetea itikadi yake ya kisiasa
Kama hujawahi kumjua Kitima pita kule!!Nyie machawa ndio mnawafanya watu kuwa maarufu. Mimi masuala ya dini sifatilii, sijawahi kumjua kiongozi yoyote wa TEC. Infact hata hiyo press ya Kitima sikuiangalia kuanzia mwanzo. Baada ya mayowe ya CCM na nyie chawa ndio nikamjua uyo Kitima nakutafuta hiyo pressyake nijue aliongea nini.
Mnawapa watu umaarufu ntyie wenyewe bila kujua. Yule dogo chavala mliempa kesi ya uhaini watu wengi tu tulikua hata hatumjui kabla ya kukamatwa