Kamalizwa na nduguye

Wakati wa shida, liombeeni taifa. Wakati wa upuuzi kama huu, kaeni mbali na siasa
 
Anajuwa kuwakosoa ma Rais waislamu tu huyu. Mbona wakati wa Magufuli aliufyata kama hayupo??
 
Zamani mambo ya utekaji yalikuwa machache mno sasa hivi yamekuwa mengi kupitiliza, ndiyo maana Father Kitima ni maarufu kwa kuyapinga kwa nguvu zote.
Je wakati mwanzilishi wa utekaji nanuuaji Magufuli anatenda haya, Fr Kitima alikuwa wapi? Acheni kumonea Rais mwanamke!!! Kwa lile Jiwe mliufyata, sasa hivi kila anachofanya Samia watu midomo inawawasha
 
Very likely👊
 
Hibyo vituo vya polisi, vituo vya Mwendokasi, na TRA ni mali yako?

Ukijenga kwa pesa zakonza mfukoni??

Haya mmeua maelfu ya watu, tunasubiri kuona mnavyotawala mchi hii, mkiwa mmegeuza hiyo MILITIA yenu ya JWTZ kuwa POLISI barabarani.
 
 
Kwanza kwetu sisi wakatoliki kutoa sadaka ni wajibu it's not something to brag about!
Hiyo inakutoa kwenye hili kundi pole sana
Vyovyote utakavyoita huwezi kubadili ukweli. Ninatoa fedha kwenye ibada za misa takatifu na michango maalumu inayoitishwa
 
Waumini tunatoa sadaka na zaka kwa ajili ya kujenga janusa ikiwa ni pamoja na kuwatunza mapadre wetu. Lakini huyu Kitima anatumia sadaka zetu kutetea itikadi yake ya kisiasa
We unakosea kupeleka sadaka yako kanisani. Kaungane na wale mafisadi waliochangia ccm mabilioni ya uchafuzi. Suala la kutegemeza kanisa la Mungu na watumishi wake tuachie sisi wenye imani.
 
Hibyo vituo vya polisi, vituo vya Mwendokasi, na TRA ni mali yako?

Ukijenga kwa pesa zakonza mfukoni??

Haya mmeua maelfu ya watu, tunasubiri kuona mnavyotawala mchi hii, mkiwa mmegeuza hiyo MILITIA yenu ya JWTZ kuwa POLISI barabarani.
Hivyo vituo vilivyochomwa moto ni mali ya umma. Na Serikali inajenga kutoka kwenye kodi zetu.

Wanaochoma miundombinu hawana haki ya kuishi, risasi ndiyo hukumu yao
 
Hivyo vituo vilivyochomwa moto ni mali ya umma. Na Serikali inajenga kutoka kwenye kodi zetu.

Wanaochoma miundombinu hawana haki ya kuishi, rosasi ndiyo hukumu yao
Huu UBWEKAJI hata SHEIKH MAJINI alibonga SANA na HINA lake KWENYE NDEVU mpaka akawa anatoa JASHO.

RISASI za MAGAIDI haziulizi DINI, UCHAWA wala CHAMA.
 
Kwanza kwetu sisi wakatoliki kutoa sadaka ni wajibu it's not something to brag about!
Hiyo inakutoa kwenye hili kundi pole sana
Mbona wanapotaka sadaka wana brag pia? Zinasomwa Jumuiya iliyoongoza hadi Jumuiyanya mwisho
 
We unakosea kupeleka sadaka yako kanisani. Kaungane na wale mafisadi waliochangia ccm mabilioni ya uchafuzi. Suala la kutegemeza kanisa la Mungu na watumishi wake tuachie sisi wenye imani.
Wewe huijui RC, wala huwezi kunitoa kwenye reli kwa sababu hiyo. Kwani RC wakipokea michango ya madisadi mbona mnapokea??

Au umesahau miamala ya Escrow kwenye Mkombozi Bank na Bishop Kilaini?
 
Huu UBWEKAJI hata SHEIKH MAJINI alibonga SANA na HINA lake KWENYE NDEVU mpaka akawa anatoa JASHO.

RISASI za MAGAIDI haziulizi DINI, UCHAWA wala CHAMA.
Simfahamu Sheikh Majini
 
Kulilia au kupigania uhai wa watu kupotezwa kupitia kutekwa and the like ndiyo siasa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…