Kama ZITTO angekuwa M/kiti CHADEMA

Kama ZITTO angekuwa M/kiti CHADEMA

Kijallo

JF-Expert Member
Joined
Mar 3, 2011
Posts
409
Reaction score
61
Baada ya kuona mwelekeo wake ni kama haeleweki ndani ya chama,na jinsi anavyoongelewa na watu ndani na nje ya Jf.(1)Hivi angekuwa mwenyekiti Cdm ingekuwaje kwa sasa?(2)Anafanya hayo kama kidonda cha kukosa uenyekiti au ndiyo moyo wake ulivyo?WAKUU naombeni mnisaidie
 
this is enough for zitto, hakuna haja ya kudiscuss zitto aliyelizika na mali zake na kusahau machungu ya watanzania:hatari::hatari::hatari:
 
Kama Zitto angekuwa m/kiti CDM ingekuwa imefanya kosa la mwaka leo ingekuwa kama CUF ya kina Mrema na Zitto angekuwa kama Lipumba.
 
  1. Kungekuwa hakuna upinzani tena
  2. DOWANS wangelipwa hela isiyo yao
 
Angelikuwa M/k chadema ingelikuwa mke mdogo wa ccm baada ya CUF..hatari tupu!
 
Leo Chadema ingekuwa hayati kama siyo marehemu
 
S. Robert alisema 'mchwa akitakiwa kuuwawa hugeuzwa kumbikumbi na kupaa juu, huko huliwa na ndege'
 
vyama vyote vya upinzani vingeungana na ccm kama walivyofanya cuf
 
Kuna ulazima wa kuwachuja hawa jamaa na kuona nani mkweli ila haya Zitto amesemwa sana humo ndani hivyo kama yeye huwa asoma hizi basi abadilike haraka sana
 
this is enough for zitto, hakuna haja ya kudiscuss zitto aliyelizika na mali zake na kusahau machungu ya watanzania:hatari::hatari::hatari:

You are quite right King of Kings a lot has been said about Zitto he rarely responds at most he ignores many allegations which are levelled against him. So comrades why cant we call it a day and concentrate more
on other important issues rather than wasting our precious time on him. Does he really deserve such a prominence?
 
Angeungana na kafulila,jk,ra,el na mkono. Tungekuwa na ccmcdm.
 
Mnajua msimamo wa slaa/mbowe/mnyika/mdee etc. juu ya NSSF kuchukua kiwira?
 
Zitto kuna wakati namkubali lakini kuna kipindi ni dhahiri kabisa anakuwa ameingia chaka, na kama angekuwa mwenyekiti CDM basi CCM wasingeihara CDM kama ilivyo sasa. Kwa taarifa CCM na serikali yake inawahanya sana Mbowe na Dr. Slaa kwa mtazamo na misimamo yao kiutendaji ndani ya chama kuliko Zitto.
 
hawezi kuwa m/kiti wa cdm.
Ni kama JK alivyoambiwa na Nyerere kuwa bado hawezi kuwa rais kwa wakati ule na ndivyo hivyo hivyo kwa Zitto laiti angelikuwa mwenyekiti upinzani ungeshapoteza dira hususani CDM.
 
Ukitumia akili kwenye POST kama hizi utagundua kuwa wachangiaji wengi ni CCM ambao wanajifanya CDM lengo ni kuzidi kuudhoofisha upinzani kwa kuleta migogoro, wasikilizeni viongozi wenu kama mtu ana matatizo wao wanamjua zaidi.
 
Naomba Mungu usiku na mchana hili lisitokee hata huo unaibu katibu na wasiwasi nao hawezi.
 
Ukitumia akili kwenye POST kama hizi utagundua kuwa wachangiaji wengi ni CCM ambao wanajifanya CDM lengo ni kuzidi kuudhoofisha upinzani kwa kuleta migogoro, wasikilizeni viongozi wenu kama mtu ana matatizo wao wanamjua zaidi.

hivi unaweza kuimarisha chama hapa kwenye kijiwe?
 
Back
Top Bottom