Baada ya kuona mwelekeo wake ni kama haeleweki ndani ya chama,na jinsi anavyoongelewa na watu ndani na nje ya Jf.(1)Hivi angekuwa mwenyekiti Cdm ingekuwaje kwa sasa?(2)Anafanya hayo kama kidonda cha kukosa uenyekiti au ndiyo moyo wake ulivyo?WAKUU naombeni mnisaidie