Kama ZITTO angekuwa M/kiti CHADEMA

Kama ZITTO angekuwa M/kiti CHADEMA

Sawa lakini kiongozi bora hajifichi mbona hata ndani ya CCM walio bora tunawajua na wanaonekana.


JOHN MREMA, REIA MTEMA, GODBLESS LEMA, JOHN MNYIKA,BASIL LEMA, BENSON KIGAILA imetosha jamani..nashauri acheni kutusumbua humu jamvini na chokochoko zenu hizo zilizojaa uchaga na unafiki..
mbona wewe JOHN MREMA ulimlilia zitto huyo huyo unaesema ni mchafu akakutenenezea mabango ya kampeni...mbona wewe Godbless lema ulimlilia zitto akuchangie kiipndi chako cha kabla ya kampeni na akakupa dola za kutosha...
ndugu zangu wala msikubali kupotoshwa na hiki kikundi cha washenzi wachache wa kichaga ambao kosa lao kubwa kwa zitto ni kugombea uenyekiti..
kama zitto ni mbaya mbona alisimamia kura za slaa hadi dakika ya mwisho wakati si mrema, mbowe wala regia ambaye alikwenda katika majumuhisho!.
tunafahamu sana kuwa kinachomponza zitto ni msimamo wake na maamuzi yake ya kuaktaa kutumiwa na kanisa katoliki.
big up zitto utashinda tu haya majaribu
.
 
Sawa lakini kiongozi bora hajifichi mbona hata ndani ya CCM walio bora tunawajua na wanaonekana.

JOHN MREMA, REIA MTEMA, GODBLESS LEMA, JOHN MNYIKA,BASIL LEMA, BENSON KIGAILA imetosha jamani..nashauri acheni kutusumbua humu jamvini na chokochoko zenu hizo zilizojaa uchaga na unafiki..
mbona wewe JOHN MREMA ulimlilia zitto huyo huyo unaesema ni mchafu akakutenenezea mabango ya kampeni...mbona wewe Godbless lema ulimlilia zitto akuchangie kiipndi chako cha kabla ya kampeni na akakupa dola za kutosha...
ndugu zangu wala msikubali kupotoshwa na hiki kikundi cha washenzi wachache wa kichaga ambao kosa lao kubwa kwa zitto ni kugombea uenyekiti..
kama zitto ni mbaya mbona alisimamia kura za slaa hadi dakika ya mwisho wakati si mrema, mbowe wala regia ambaye alikwenda katika majumuhisho!.
tunafahamu sana kuwa kinachomponza zitto ni msimamo wake na maamuzi yake ya kuaktaa kutumiwa na kanisa katoliki.
big up zitto utashinda tu haya majaribu
.
 
Naogopa, sijui TZ ingekuwa wapi.

JOHN MREMA, REIA MTEMA, GODBLESS LEMA, JOHN MNYIKA,BASIL LEMA, BENSON KIGAILA imetosha jamani..nashauri acheni kutusumbua humu jamvini na chokochoko zenu hizo zilizojaa uchaga na unafiki..
mbona wewe JOHN MREMA ulimlilia zitto huyo huyo unaesema ni mchafu akakutenenezea mabango ya kampeni...mbona wewe Godbless lema ulimlilia zitto akuchangie kiipndi chako cha kabla ya kampeni na akakupa dola za kutosha...
ndugu zangu wala msikubali kupotoshwa na hiki kikundi cha washenzi wachache wa kichaga ambao kosa lao kubwa kwa zitto ni kugombea uenyekiti..
kama zitto ni mbaya mbona alisimamia kura za slaa hadi dakika ya mwisho wakati si mrema, mbowe wala regia ambaye alikwenda katika majumuhisho!.
tunafahamu sana kuwa kinachomponza zitto ni msimamo wake na maamuzi yake ya kuaktaa kutumiwa na kanisa katoliki.
big up zitto utashinda tu haya majaribu
.
 
Nadhani wazee wa CDM walikuwa na busara kubwa na waliona mbali kweli kwa kumtoa ki utu uzima, nadhani ameridhika na vihongo vidogo alivyopewa na CCM,
 
Hebu kuwa na reference za kutosha ulio wataja hapa mbona sio wachaga mfano, John Mnyika, Benson Kigaila na Regia Mtema?fanya research kabla ya ku post issues
 
Naomba Mungu usiku na mchana hili lisitokee hata huo unaibu katibu na wasiwasi nao hawezi.

JOHN MREMA, REIA MTEMA, GODBLESS LEMA, JOHN MNYIKA,BASIL LEMA, BENSON KIGAILA imetosha jamani..nashauri acheni kutusumbua humu jamvini na chokochoko zenu hizo zilizojaa uchaga na unafiki..
mbona wewe JOHN MREMA ulimlilia zitto huyo huyo unaesema ni mchafu akakutenenezea mabango ya kampeni...mbona wewe Godbless lema ulimlilia zitto akuchangie kiipndi chako cha kabla ya kampeni na akakupa dola za kutosha...
ndugu zangu wala msikubali kupotoshwa na hiki kikundi cha washenzi wachache wa kichaga ambao kosa lao kubwa kwa zitto ni kugombea uenyekiti..
kama zitto ni mbaya mbona alisimamia kura za slaa hadi dakika ya mwisho wakati si mrema, mbowe wala regia ambaye alikwenda katika majumuhisho!.
tunafahamu sana kuwa kinachomponza zitto ni msimamo wake na maamuzi yake ya kuaktaa kutumiwa na kanisa katoliki.
big up zitto utashinda tu haya majaribu
.
 
Nadhani wazee wa CDM walikuwa na busara kubwa na waliona mbali kweli kwa kumtoa ki utu uzima, nadhani ameridhika na vihongo vidogo alivyopewa na CCM,

JOHN MREMA, REIA MTEMA, GODBLESS LEMA, JOHN MNYIKA,BASIL LEMA, BENSON KIGAILA imetosha jamani..nashauri acheni kutusumbua humu jamvini na chokochoko zenu hizo zilizojaa uchaga na unafiki..
mbona wewe JOHN MREMA ulimlilia zitto huyo huyo unaesema ni mchafu akakutenenezea mabango ya kampeni...mbona wewe Godbless lema ulimlilia zitto akuchangie kiipndi chako cha kabla ya kampeni na akakupa dola za kutosha...
ndugu zangu wala msikubali kupotoshwa na hiki kikundi cha washenzi wachache wa kichaga ambao kosa lao kubwa kwa zitto ni kugombea uenyekiti..
kama zitto ni mbaya mbona alisimamia kura za slaa hadi dakika ya mwisho wakati si mrema, mbowe wala regia ambaye alikwenda katika majumuhisho!.
tunafahamu sana kuwa kinachomponza zitto ni msimamo wake na maamuzi yake ya kuaktaa kutumiwa na kanisa katoliki.
big up zitto utashinda tu haya majaribu
.
 
Hebu kuwa na reference za kutosha ulio wataja hapa mbona sio wachaga mfano, John Mnyika, Benson Kigaila na Regia Mtema?fanya research kabla ya ku post issues

hao ni wake zao na wachagga...good enough ujumbe umeupata.

JOHN MREMA, REIA MTEMA, GODBLESS LEMA, JOHN MNYIKA,BASIL LEMA, BENSON KIGAILA imetosha jamani..nashauri acheni kutusumbua humu jamvini na chokochoko zenu hizo zilizojaa uchaga na unafiki..
mbona wewe JOHN MREMA ulimlilia zitto huyo huyo unaesema ni mchafu akakutenenezea mabango ya kampeni...mbona wewe Godbless lema ulimlilia zitto akuchangie kiipndi chako cha kabla ya kampeni na akakupa dola za kutosha...
ndugu zangu wala msikubali kupotoshwa na hiki kikundi cha washenzi wachache wa kichaga ambao kosa lao kubwa kwa zitto ni kugombea uenyekiti..
kama zitto ni mbaya mbona alisimamia kura za slaa hadi dakika ya mwisho wakati si mrema, mbowe wala regia ambaye alikwenda katika majumuhisho!.
tunafahamu sana kuwa kinachomponza zitto ni msimamo wake na maamuzi yake ya kuaktaa kutumiwa na kanisa katoliki.
big up zitto utashinda tu haya majaribu
.
 
hivi unaweza kuimarisha chama hapa kwenye kijiwe?

JOHN MREMA, REIA MTEMA, GODBLESS LEMA, JOHN MNYIKA,BASIL LEMA, BENSON KIGAILA imetosha jamani..nashauri acheni kutusumbua humu jamvini na chokochoko zenu hizo zilizojaa uchaga na unafiki..
mbona wewe JOHN MREMA ulimlilia zitto huyo huyo unaesema ni mchafu akakutenenezea mabango ya kampeni...mbona wewe Godbless lema ulimlilia zitto akuchangie kiipndi chako cha kabla ya kampeni na akakupa dola za kutosha...
ndugu zangu wala msikubali kupotoshwa na hiki kikundi cha washenzi wachache wa kichaga ambao kosa lao kubwa kwa zitto ni kugombea uenyekiti..
kama zitto ni mbaya mbona alisimamia kura za slaa hadi dakika ya mwisho wakati si mrema, mbowe wala regia ambaye alikwenda katika majumuhisho!.
tunafahamu sana kuwa kinachomponza zitto ni msimamo wake na maamuzi yake ya kuaktaa kutumiwa na kanisa katoliki.
big up zitto utashinda tu haya majaribu
.
 
this is enough for zitto, hakuna haja ya kudiscuss zitto aliyelizika na mali zake na kusahau machungu ya watanzania:hatari::hatari::hatari:

JOHN MREMA, REIA MTEMA, GODBLESS LEMA, JOHN MNYIKA,BASIL LEMA, BENSON KIGAILA imetosha jamani..nashauri acheni kutusumbua humu jamvini na chokochoko zenu hizo zilizojaa uchaga na unafiki..
mbona wewe JOHN MREMA ulimlilia zitto huyo huyo unaesema ni mchafu akakutenenezea mabango ya kampeni...mbona wewe Godbless lema ulimlilia zitto akuchangie kiipndi chako cha kabla ya kampeni na akakupa dola za kutosha...
ndugu zangu wala msikubali kupotoshwa na hiki kikundi cha washenzi wachache wa kichaga ambao kosa lao kubwa kwa zitto ni kugombea uenyekiti..
kama zitto ni mbaya mbona alisimamia kura za slaa hadi dakika ya mwisho wakati si mrema, mbowe wala regia ambaye alikwenda katika majumuhisho!.
tunafahamu sana kuwa kinachomponza zitto ni msimamo wake na maamuzi yake ya kuaktaa kutumiwa na kanisa katoliki.
big up zitto utashinda tu haya majaribu
.
 
Kuna ulazima wa kuwachuja hawa jamaa na kuona nani mkweli ila haya Zitto amesemwa sana humo ndani hivyo kama yeye huwa asoma hizi basi abadilike haraka sana

JOHN MREMA, REIA MTEMA, GODBLESS LEMA, JOHN MNYIKA,BASIL LEMA, BENSON KIGAILA imetosha jamani..nashauri acheni kutusumbua humu jamvini na chokochoko zenu hizo zilizojaa uchaga na unafiki..
mbona wewe JOHN MREMA ulimlilia zitto huyo huyo unaesema ni mchafu akakutenenezea mabango ya kampeni...mbona wewe Godbless lema ulimlilia zitto akuchangie kiipndi chako cha kabla ya kampeni na akakupa dola za kutosha...
ndugu zangu wala msikubali kupotoshwa na hiki kikundi cha washenzi wachache wa kichaga ambao kosa lao kubwa kwa zitto ni kugombea uenyekiti..
kama zitto ni mbaya mbona alisimamia kura za slaa hadi dakika ya mwisho wakati si mrema, mbowe wala regia ambaye alikwenda katika majumuhisho!.
tunafahamu sana kuwa kinachomponza zitto ni msimamo wake na maamuzi yake ya kuaktaa kutumiwa na kanisa katoliki.
big up zitto utashinda tu haya majaribu
.
 
JOHN MREMA, REIA MTEMA, GODBLESS LEMA, JOHN MNYIKA,BASIL LEMA, BENSON KIGAILA imetosha jamani..nashauri acheni kutusumbua humu jamvini na chokochoko zenu hizo zilizojaa uchaga na unafiki..
mbona wewe JOHN MREMA ulimlilia zitto huyo huyo unaesema ni mchafu akakutenenezea mabango ya kampeni...mbona wewe Godbless lema ulimlilia zitto akuchangie kiipndi chako cha kabla ya kampeni na akakupa dola za kutosha...
ndugu zangu wala msikubali kupotoshwa na hiki kikundi cha washenzi wachache wa kichaga ambao kosa lao kubwa kwa zitto ni kugombea uenyekiti..
kama zitto ni mbaya mbona alisimamia kura za slaa hadi dakika ya mwisho wakati si mrema, mbowe wala regia ambaye alikwenda katika majumuhisho!.
tunafahamu sana kuwa kinachomponza zitto ni msimamo wake na maamuzi yake ya kuaktaa kutumiwa na kanisa katoliki.
big up zitto utashinda tu haya majaribu
.
Mjomba kazi unayo!nani kakwambia wote wanaochangia ndiyo hao uliowataja?Kama Cdm cha wachaga,wakina A,mrema,Mbatia,Kilango,Mramba,wangekuwa Cdm,jibu hoja acha kukimbilia kwenye udini na ukabila?
 
Mimi ni kijana, am at in my early 30th now, I am doing very well in my career, pretty weill than I had anticipated.Lakini naomba niseme wazi leo hapa kwamba, Nimekubalina na Maelekezo ya Mwenyezi Mungu kwamba, Vijana hawatakiwi kupewa majukumu makubwa sana harakaharaka. No wonder why, hata Baada ya Kumchagua KING David kuwa Mfalme wa Israel, he did not become the king immedietly.

Hizi kelele anazopigiwa ZITTO sasa, kama angekuwa na busara ya kutosha, angejirudi na kureview his political career projections. Inawezekana kuna mambo anataka kuyaaccomplish haraka haraka ndiyo yanayompeleka offload bila kujijua.

Kama kakosa Busara basi akijunze kwa Mkwere, Alipowekewa Stop na Mwalimu in his first attempt, Jakaya hakupanic na kuanza kumiss behave,Mkwere alirelux, akajinyenyekeza kwa Ben na Manyanyaso yote anayodai alikuwa akifanyiwa na akina Mangura,only once aliscream kwamba anafanyiwa rough (tena kwenye vikao vya chama).

At the end of the day akafikia malengo yake, Hata kama alikuwa hajui anachokitaka hasa ni nini...
 
Mimi ni kijana, am at in my early 30th now, I am doing very well in my career, pretty weill than I had anticipated.Lakini naomba niseme wazi leo hapa kwamba, Nimekubalina na Maelekezo ya Mwenyezi Mungu kwamba, Vijana hawatakiwi kupewa majukumu makubwa sana harakaharaka. No wonder why, hata Baada ya Kumchagua KING David kuwa Mfalme wa Israel, he did not become the king immedietly.

Hizi kelele anazopigiwa ZITTO sasa, kama angekuwa na busara ya kutosha, angejirudi na kureview his political career projections. Inawezekana kuna mambo anataka kuyaaccomplish haraka haraka ndiyo yanayompeleka offload bila kujijua.

Kama kakosa Busara basi akijunze kwa Mkwere, Alipowekewa Stop na Mwalimu in his first attempt, Jakaya hakupanic na kuanza kumiss behave,Mkwere alirelux, akajinyenyekeza kwa Ben na Manyanyaso yote anayodai alikuwa akifanyiwa na akina Mangura,only once aliscream kwamba anafanyiwa rough (tena kwenye vikao vya chama).

At the end of the day akafikia malengo yake, Hata kama alikuwa hajui anachokitaka hasa ni nini...
Zitto hayajui hayo yeye kwa akili yake anasema watu wanamwonea wivu immaturity thinking nilitegemea hayo maneno yasemwe na kina Sophia Simba na si Zitto amenikatisha tamaa na nimem disgrade kabisa.
 
Ku keep status ya kuwa mwanasiasa shupavu kuna cost zake, baadhi ya wanasiasa vijana hawalijui hili.

Mwanasiasa kijana anakumbana na vishawishi vingi toka kwa watu mbalimbali katika jamii wakati wa kutekeleza majukumu yake ya kisiasa kwa hiyo asipokuwa makini anatumbukia kwenye shimo.
 
Ukitumia akili kwenye POST kama hizi utagundua kuwa wachangiaji wengi ni CCM ambao wanajifanya CDM lengo ni kuzidi kuudhoofisha upinzani kwa kuleta migogoro, wasikilizeni viongozi wenu kama mtu ana matatizo wao wanamjua zaidi.

Halafu wewe mnazi wa CUF. Naona unatumia chata lao la Haki Sawa
 
Back
Top Bottom