Seran
JF-Expert Member
- Feb 7, 2025
- 12,427
- 36,650
Anasema hivi, eti sie wanawake tuna michezo, tukiwa 20s bado tunajiona wadogo kuolewa ila tukifika 30s uko ndio tunasaka kuolewa na tunachelewa kuwa na watoto mtu ana 26 bado hana mtoto😁😁😁ht sijui kasemaje