min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 47,836
- 132,249
Bibi ila bado mtamu tu🤣It's too late already,mimi ni bibi😔
Bibi ila bado mtamu tu🤣It's too late already,mimi ni bibi😔
Mambo ya mishangazi kwenye vilabu vya pombe mremboI missed you too...ukapotea baada ya uchaguzi wengi humu tukadhan umepata mtihani aisee
si kwa kupotea kule
Labda kutolewa mahari na kuletewa tonge ya ubwabwa.....washachoka kutafuta kwa jasho wanataka mambo soft soft, unaona haweshi kulalamikaYani ni vituko tu sa inamfavor nini anapewa tuzo? Wanatuona kama mananihii yao mfyuu!
Andrew Tate wa Kenya huyo. Hata majina wamefanana. Waropokaji wa upumbavu wa red pill.Hakuna mtu mwenye experience ya maisha awape wengine ushauri, wote hapa Duniani ndio tunaishi kwa mara ya kwanza. Huyu mbwa anatafuta tu ugali kwa kuwaongelea wanawake vibaya, labda hata mamaake hana bwana
Sio wote ni wabaya. Mbona unatumiaga sana misamiati ya kipolisi🙄🙄Dogo Unanitafuta uhasama na wananchi wenzangu nani polisi?
Haya matusi sasa kufananishwa na push up kwenye godoro?? 🤣🤣🤣 Nampenda muliro na mafweleSio wote ni wabaya. Mbona unatumiaga sana misamiati ya kipolisi
Bibi mchungu,mchachu kabisa huyu😀Bibi ila bado mtamu tu🤣
😉Haya matusi sasa kufananishwa na push up kwenye godoro?? 🤣🤣🤣 Nampenda muliro na mafwele
Kwahiyo mtoto wako na wewe nyote mna experience sawa ?Hakuna mtu mwenye experience ya maisha awape wengine ushauri, wote hapa Duniani ndio tunaishi kwa mara ya kwanza. Huyu mbwa anatafuta tu ugali kwa kuwaongelea wanawake vibaya, labda hata mamaake hana bwana
Mahali yenyewe sipewi cent! Waache basi tuanze kushindana kudanga tafanyaje ss!!Labda kutolewa mahari na kuletewa tonge ya ubwabwa.....washachoka kutafuta kwa jasho wanataka mambo soft soft, unaona haweshi kulalamika
Bibi mtamu huyu aloooo😋Bibi mchungu,mchachu kabisa huyu😀
Ni ukweli mtupuNakusoma tu mama mchunga , mnadanganyana na mama mchunga mwenzako 🤔
Acha kuvunga, wewe ni Pisi Kali ! Ukiamua unakuwa kesho miss universe. Kukujua nakujua mara nyingi nakuona, ndo maana nakufukuziaAliyekwambia mi mnyonge nani?
Nipewe haki gani humu wote hatujuani, kwani wewe ushawahi kuniona??
Nwei, mimi sio pisi kali nina sura ngumu km wanajeshi wa delta force 😹
Umeanza lini kuwa muongo? 😹😹Pole
Ni pisi
Au sio 😹Acha kuvunga, wewe ni Pisi Kali ! Ukiamua unakuwa kesho miss universe. Kukujua nakujua mara nyingi nakuona, ndo maana nakufukuzia
Selfika, miadi ya nini sasa?Hao wengine uliwaona wapi?
Una pirika km za pimbi, kwamba binti kiziwi na akili zake timamu aweke miahadi na wewe muonane?? 😹😹😹
ThubutuUmeanza lini kuwa muongo? 😹😹