Kama wewe ni nurse ungefanyaje?

Kama wewe ni nurse ungefanyaje?

[emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Yaani hapo jamaa anachoona ni kama mdomo tofauti uelekeo wake tu[emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2445][emoji2445][emoji2445][emoji377][emoji377][emoji377]
Cc: katoto kazuri
 
Kuna mawili;
1. Labda mgonjwa amekuwa akimlilia sana huyo nesi kwa siku nyingi hadi kupatwa na ugonjwa wa moyo. Hivyo alipozinduka akajikuta amebebwa na huyu nesi basi akaamua ajionee hata kwa macho hicho anachokililia hivyo kikoje??
2. Yawezekana huyo nesi ni mke wa huyo aliye mbele. Hivyo jamaa akaomba ajifanye kuzimia ili nesi ampe nafasi ya kuchungulia tu kwa macho kwani hakuna namna. Mpe hatua 10 tu sasa hivi na utaukuta mkono umeingia ikulu ndogo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom