Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
Huo utakuwa udhalilishaji na sio ugonjwaEeeh! Kama mimi ni mgonjwa na najiweza najigeuza to the other side too..![]()
Huo utakuwa udhalilishaji na sio ugonjwaEeeh! Kama mimi ni mgonjwa na najiweza najigeuza to the other side too..![]()
Au unatoa kabisa hilo vaziHahaha hahaha
Hapana
Kazi zina changamoto sanaAu unatoa kabisa hilo vazi
ha ha ha ha halafu ukute ndio mkeo huyoKuna mawili;
1. Labda mgonjwa amekuwa akimlilia sana huyo nesi kwa siku nyingi hadi kupatwa na ugonjwa wa moyo. Hivyo alipozinduka akajikuta amebebwa na huyu nesi basi akaamua ajionee hata kwa macho hicho anachokililia hivyo kikoje??
2. Yawezekana huyo nesi ni mke wa huyo aliye mbele. Hivyo jamaa akaomba ajifanye kuzimia ili nesi ampe nafasi ya kuchungulia tu kwa macho kwani hakuna namna. Mpe hatua 10 tu sasa hivi na utaukuta mkono umeingia ikulu ndogo
ha ha ha ha tatizo sio udhalilishaji,bali ni nature tuHuo utakuwa udhalilishaji na sio ugonjwa
Hapanaha ha ha ha tatizo sio udhalilishaji,bali ni nature tu
Namlamba kibao changuvu mpaka anazimia kabisa.Nimeikuta mahali...ungekuwa ni wewe ungefanyaje?
View attachment 1106679
Ni kweli mkuu,nakumbuka miaka 14 iliyopita nilienda hospitali moja kung'oa jino;kuna daktari wa kike ndio alinihudumia,nilikuwa natamani aendelee tu kunihudumia.....lakini inabidi tu tuendelee kuwapendaKazi zina changamoto sana
ha ha ha ha mumeo atapata shida sanaNamlamba kibao changuvu mpaka anazimia kabisa.
Utapataje shida??ha ha ha ha mumeo atapata shida sana
Namlamba kibao changuvu mpaka anazimia kabisa.
Ananiangalia huko yanini?Huo ni uonevu kabisa dhidi ya haki za mgonjwa, huoni nguo yenyewe imekaa kimtego mtego hata ukweni, kanisani na baadhi ya ofisi za serikalini hauwezi kuruhusiwa kuingia nazo?
utakuwa unampiga sanaUtapataje shida??
Na wengi huwa wanavaa nguo za mitegoHuo ni uonevu kabisa dhidi ya haki za mgonjwa, huoni nguo yenyewe imekaa kimtego mtego hata ukweni, kanisani na baadhi ya ofisi za serikalini hauwezi kuruhusiwa kuingia nazo?
Ikiwa ni mgonjwa wa akili je, na kwanini uvae isivyopasa kimaadili ukiwa kazini, au ndiyo biashara ni matangazo?Ananiangalia huko yanini?
kuna nguvu ya hasi na chanyaAnaniangalia huko yanini?
Halafu huyo mgonjwa ni wewe.kuna nguvu ya hasi na chanya
Hahaaa...ni shiidaaah!Na wengi huwa wanavaa nguo za mitego
ha ha ha ha kwa sababu mimi ndio niko hivyo au?Halafu huyo mgonjwa ni wewe.