Iselamagazi
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 5,930
- 6,023
Mfuko wa wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) kufilisika?
Kwamba serikali ya Tz katika muda tofauti imekopa fedha lukuki toka NSSF na kushindwa kufanya marejesho ktk mfuko husika! Mifuko mingine ya Jamii inatajwa kuwa ni: PPF, PSPF, LAPF pamoja na NHIF. Hii ni habari kulingana na taarifa ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za serikali (CAG) ya 2010/2011. Habari hii siyo nzuri masikioni mwa wanachama husika!
Ikiwa wewe ni mwanachama ktk mojawapo ya mifuko hii, hali hii unaionaje?
Source: Mwanahalisi, ISSN: 1821- 5432, TOLEO Na. 290, 2012.
Kwamba serikali ya Tz katika muda tofauti imekopa fedha lukuki toka NSSF na kushindwa kufanya marejesho ktk mfuko husika! Mifuko mingine ya Jamii inatajwa kuwa ni: PPF, PSPF, LAPF pamoja na NHIF. Hii ni habari kulingana na taarifa ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za serikali (CAG) ya 2010/2011. Habari hii siyo nzuri masikioni mwa wanachama husika!
Ikiwa wewe ni mwanachama ktk mojawapo ya mifuko hii, hali hii unaionaje?
Source: Mwanahalisi, ISSN: 1821- 5432, TOLEO Na. 290, 2012.