Huyu Mimi
JF-Expert Member
- Apr 16, 2019
- 2,573
- 2,091
Yaaan Acha Tuuh Wanafikiri MANIPULATION ni Simpo HahaahHujui ulichokiweka hapa,na hujui tech hii inafanywaje
Na ndomana juz nilileta uzi hapa,wa Tz sabab ya elim ndogo bas tunaweza kua manipulated vyovyote na tukaingia chaka
Hiv unajua hyo tech ili kuifanya kuna vifaa maalum ambavyo lazima muhusika anaye editiwa awepo na lazima avalishwe hzo receptors katka maeneo yote ambayo yanafanyiwa editing?na unafaham ni ugum kias gan kuunganisha picha na saut ya tukio lililo live na uka capture saut zote za nje na ndan,yaan mfano upepo,saut za wadudu or saut za kitanda etc..sjui kama unanielewa..na hyo uliyoweka ni animated image,...gwajima ile si animated,kama unafaham haya mambo ni rahis kujua,..
Hakuna mtu anaweza edit kitu kama kile dunian,..editing znafanywa lakin si Tz