Kama Wachumi Wawili Wazuri Hawawezi Kukubaliana, Kwanini Mwigulu Mchemba Adhani Anachoamini Yeye ni Sahihi?

tutafikatu

JF-Expert Member
Dec 17, 2011
3,241
4,466
Mtunzi mmoja maarufu, George Bernard Shaw, aliwahi kusema: "Ikiwa wachumi wote wangewekwa kona hadi kona, hawangefikia hitimisho (tamati)." (Tafsiri yangu)

Kwa hiyo, inakuwaje wachumi wawili wabobezi wenye uzoefu, maarifa, wanasoma na kuchambua takwimu sawa na kila mmoja anakuja na utabiri au njia tofauti kabisa ya kukuza uchumi wa taifa? Kwa nini wataalamu hawa mara nyingi hawakubaliani na wenzao? Kuna sababu nyingi, lakini moja ni kuu - Shule ya uchumi anayoamini (economic schools of thought).

Wachumi wengi hawakubaliani kwa sababu wengi wao kawaida huanguka katika shule mbili za kiuchumi zinazoshindana kimawazo: Uchumi wa Keynesian na uchumi wa soko huria.

Wachumi wa Keynesian wanaamini kuwa serikali inapaswa kuchukua jukumu katika kusimamia masoko ilhali wachumi wa soko huria (naamini Mwigulu yupo huku) wanaamini kwamba serikali inapaswa kutoweka mikono yake na kuacha soko lijidhibiti.

Sasa Mwigulu, kujifanya yeye kama mchumi wa Kwanza Duniani anayepaswa kusikilizwa yeye tu ni kosa, maana anachoamini wachumi wengi hawakiamini.

Mwigulu acha KIBURI.
 
Mtunzi mmoja maarufu, George Bernard Shaw, aliwahi kusema: "Ikiwa wachumi wote wangewekwa kona hadi kona, hawangefikia hitimisho (tamati)." (Tafsiri yangu)

Kwa hiyo, inakuwaje wachumi wawili wabobezi wenye uzoefu, maarifa, wanasoma na kuchambua takwimu sawa na kila mmoja anakuja na utabiri au njia tofauti kabisa ya kukuza uchumi wa taifa? Kwa nini wataalamu hawa mara nyingi hawakubaliani na wenzao? Kuna sababu nyingi, lakini moja ni kuu - Shule ya uchumi anayoamini (economic schools of thought).

Wachumi wengi hawakubaliani kwa sababu wengi wao kawaida huanguka katika shule mbili za kiuchumi zinazoshindana kimawazo: Uchumi wa Keynesian na uchumi wa soko huria.

Wachumi wa Keynesian wanaamini kuwa serikali inapaswa kuchukua jukumu katika kusimamia masoko ilhali wachumi wa soko huria (naamini Mwigulu yupo huku) wanaamini kwamba serikali inapaswa kutoweka mikono yake na kuacha soko lijidhibiti.

Sasa Mwigulu, kujifanya yeye kama mchumi wa Kwanza Duniani anayepaswa kusikilizwa yeye tu ni kosa, maana anachoamini wachumi wengi hawakiamini.

Mwigulu acha KIBURI.
Ni ovyo tu na bashe pia anabelong kwenye hiyo school ya free market. Ni wajinga tu maana kila somo kuhusu free market utaona masharti ili soko liwe free lazima kuwe na fair competition.
Katika hali halisi ni vigumu huwezi kupata soko huru ndio maana nchi karibu zote zenye kupinga unyonyaji unaoweza kufanywa na wafanya biashara utakuta wanadhibiti 'regulate' masoko. Ila wasomi uchwara hawa au washiriki wa wapigaji ndio wanataka masoko holela, masoko yanayodhibitiwa na wapigaji.
 
Mtunzi mmoja maarufu, George Bernard Shaw, aliwahi kusema: "Ikiwa wachumi wote wangewekwa kona hadi kona, hawangefikia hitimisho (tamati)." (Tafsiri yangu)

Kwa hiyo, inakuwaje wachumi wawili wabobezi wenye uzoefu, maarifa, wanasoma na kuchambua takwimu sawa na kila mmoja anakuja na utabiri au njia tofauti kabisa ya kukuza uchumi wa taifa? Kwa nini wataalamu hawa mara nyingi hawakubaliani na wenzao? Kuna sababu nyingi, lakini moja ni kuu - Shule ya uchumi anayoamini (economic schools of thought).

Wachumi wengi hawakubaliani kwa sababu wengi wao kawaida huanguka katika shule mbili za kiuchumi zinazoshindana kimawazo: Uchumi wa Keynesian na uchumi wa soko huria.

Wachumi wa Keynesian wanaamini kuwa serikali inapaswa kuchukua jukumu katika kusimamia masoko ilhali wachumi wa soko huria (naamini Mwigulu yupo huku) wanaamini kwamba serikali inapaswa kutoweka mikono yake na kuacha soko lijidhibiti.

Sasa Mwigulu, kujifanya yeye kama mchumi wa Kwanza Duniani anayepaswa kusikilizwa yeye tu ni kosa, maana anachoamini wachumi wengi hawakiamini.

Mwigulu acha KIBURI.
Mwigulu msamehe tu, hata uchumi wenyewe haujui. Na wala asiwaringishie hapa na hiyo PhD yake ya kutoka UDSM. Mbona Mawaziri wengi wanawapa ma Prof wanawaandikia, then wenyewe wanakwenda ku defend tu. Profesa gani atakataa Tsh 25-30 Million kumuandikia Waziri Thesis?

Ila nakuhakikishia ni vigumu kulpata PhD huku ukiwa FULLY OCCUPIED na routine duties za Uwaziri kama tunavyo muona Mwigulu.
.
Kwangu Mimi PhD ya Mwigulu na ya Babu Tale ziko sawa tu.
 
Mtunzi mmoja maarufu, George Bernard Shaw, aliwahi kusema: "Ikiwa wachumi wote wangewekwa kona hadi kona, hawangefikia hitimisho (tamati)." (Tafsiri yangu)

Kwa hiyo, inakuwaje wachumi wawili wabobezi wenye uzoefu, maarifa, wanasoma na kuchambua takwimu sawa na kila mmoja anakuja na utabiri au njia tofauti kabisa ya kukuza uchumi wa taifa? Kwa nini wataalamu hawa mara nyingi hawakubaliani na wenzao? Kuna sababu nyingi, lakini moja ni kuu - Shule ya uchumi anayoamini (economic schools of thought).

Wachumi wengi hawakubaliani kwa sababu wengi wao kawaida huanguka katika shule mbili za kiuchumi zinazoshindana kimawazo: Uchumi wa Keynesian na uchumi wa soko huria.

Wachumi wa Keynesian wanaamini kuwa serikali inapaswa kuchukua jukumu katika kusimamia masoko ilhali wachumi wa soko huria (naamini Mwigulu yupo huku) wanaamini kwamba serikali inapaswa kutoweka mikono yake na kuacha soko lijidhibiti.

Sasa Mwigulu, kujifanya yeye kama mchumi wa Kwanza Duniani anayepaswa kusikilizwa yeye tu ni kosa, maana anachoamini wachumi wengi hawakiamini.

Mwigulu acha KIBURI.
Hizo theory zinakuwa harmonized na governance na hasa pale ambapo welfare ya wnaanchi ndiyo inakuwa priority ya kwanza

Wachumi wanakutana katika principles za good governance, japo katika specificity zao watatofautiana lakini basics zinabakia pale pale the efficiency na effectiveness of resources utilization na ndiyo maana yakuwa na "governance" ambayo ina harmonize hizo disparities.

Je Waziri anatoa lecture bungeni au ana govern mipango ya nchi?

Governance na economics siyo substitute ya each other japo zina compliment na kuna intersection sehemu. Anapaswa kusimama katika kuamua kwa set of options anazopewa na experts siyo za preferences zake ili kwanza, kulinda kura za Mh. Rais ili asiondolewe na voters, kisha kuongeza welfare ya raia ambayo ndiyo kitasababisha wapiga kura kukichagua chama chake; siyo yeye kuchukua nafasi za experts na hivyo kushindwa ku meet objectives za portifolio hiyo aliyopewa na Mh. Rais ambayo ni ya kisiasa na siyo technical.
 
Mtunzi mmoja maarufu, George Bernard Shaw, aliwahi kusema: "Ikiwa wachumi wote wangewekwa kona hadi kona, hawangefikia hitimisho (tamati)." (Tafsiri yangu)

Kwa hiyo, inakuwaje wachumi wawili wabobezi wenye uzoefu, maarifa, wanasoma na kuchambua takwimu sawa na kila mmoja anakuja na utabiri au njia tofauti kabisa ya kukuza uchumi wa taifa? Kwa nini wataalamu hawa mara nyingi hawakubaliani na wenzao? Kuna sababu nyingi, lakini moja ni kuu - Shule ya uchumi anayoamini (economic schools of thought).

Wachumi wengi hawakubaliani kwa sababu wengi wao kawaida huanguka katika shule mbili za kiuchumi zinazoshindana kimawazo: Uchumi wa Keynesian na uchumi wa soko huria.

Wachumi wa Keynesian wanaamini kuwa serikali inapaswa kuchukua jukumu katika kusimamia masoko ilhali wachumi wa soko huria (naamini Mwigulu yupo huku) wanaamini kwamba serikali inapaswa kutoweka mikono yake na kuacha soko lijidhibiti.

Sasa Mwigulu, kujifanya yeye kama mchumi wa Kwanza Duniani anayepaswa kusikilizwa yeye tu ni kosa, maana anachoamini wachumi wengi hawakiamini.

Mwigulu acha KIBURI.
Mbona Kama umechanganya madesa hapo Keynes!!..huenda Adam Smith umemuweka kwa Keynes,sikiliza...masuala ya uchumi hujadiliwa na wachumi siyo waganga wa kienyeji,uchumi una lugha yake...siyo mkulima wa mapapai hujui alifu Wala be za uchumi unataka kujadili uchumi
 
Mwigulu msamehe tu, hata uchumi wenyewe haujui. Na wala asiwaringishie hapa na hiyo PhD yake ya kutoka UDSM. Mbona Mawaziri wengi wanawapa ma Prof wanawaandikia, then wenyewe wanakwenda ku defend tu. Profesa gani atakataa Tsh 25-30 Million kumuandikia Waziri Thesis?

Ila nakuhakikishia ni vigumu kulpata PhD huku ukiwa FULLY OCCUPIED na routine duties za Uwaziri kama tunavyo muona Mwigulu.
.
Kwangu Mimi PhD ya Mwigulu na ya Babu Tale ziko sawa tu.
Duh hata kama haumpendi basi nakuomba usifananishe kifo na usingizi.
 
wachumi wa soko huria (naamini Mwigulu yupo huku) wanaamini kwamba serikali inapaswa kutoweka mikono yake na kuacha soko lijidhibiti.
The free market was never a real thing, just a lie to stop regulations to protect consumers. Mwigulu Chemba Rais wa mawe, punda na alizeti
 
Hizo theory zinakuwa harmonized na governance na hasa pale ambapo welfare ya wnaanchi ndiyo inakuwa priority ya kwanza

Wachumi wanakutana katika principles za good governance, japo katika specificity zao watatofautiana lakini basics zinabakia pale pale the efficiency na effectiveness of resources utilization na ndiyo maana yakuwa na "governance" ambayo ina harmonize hizo disparities.

Je Waziri anatoa lecture bungeni au ana govern mipango ya nchi?

Governance na economics siyo substitute ya each other japo zina compliment na kuna intersection sehemu. Anapaswa kusimama katika kuamua kwa set of options anazopewa na experts siyo za preferences zake ili kwanza, kulinda kura za Mh. Rais ili asiondolewe na voters, kisha kuongeza welfare ya raia ambayo ndiyo kitasababisha wapiga kura kukichagua chama chake; siyo yeye kuchukua nafasi za experts na hivyo kushindwa ku meet objectives za portifolio hiyo aliyopewa na Mh. Rais ambayo ni ya kisiasa na siyo technical.
Umeeleza vizuri sana
 
Mtunzi mmoja maarufu, George Bernard Shaw, aliwahi kusema: "Ikiwa wachumi wote wangewekwa kona hadi kona, hawangefikia hitimisho (tamati)." (Tafsiri yangu)

Kwa hiyo, inakuwaje wachumi wawili wabobezi wenye uzoefu, maarifa, wanasoma na kuchambua takwimu sawa na kila mmoja anakuja na utabiri au njia tofauti kabisa ya kukuza uchumi wa taifa? Kwa nini wataalamu hawa mara nyingi hawakubaliani na wenzao? Kuna sababu nyingi, lakini moja ni kuu - Shule ya uchumi anayoamini (economic schools of thought).

Wachumi wengi hawakubaliani kwa sababu wengi wao kawaida huanguka katika shule mbili za kiuchumi zinazoshindana kimawazo: Uchumi wa Keynesian na uchumi wa soko huria.

Wachumi wa Keynesian wanaamini kuwa serikali inapaswa kuchukua jukumu katika kusimamia masoko ilhali wachumi wa soko huria (naamini Mwigulu yupo huku) wanaamini kwamba serikali inapaswa kutoweka mikono yake na kuacha soko lijidhibiti.

Sasa Mwigulu, kujifanya yeye kama mchumi wa Kwanza Duniani anayepaswa kusikilizwa yeye tu ni kosa, maana anachoamini wachumi wengi hawakiamini.

Mwigulu acha KIBURI.


Inawezekana asiione ngoja ni mtag, Mnyiramba.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom