sinza pazuri
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 2,522
- 7,370
Siingiagi sana huku jukwaa la ajira lakini leo nimepitia post nyingi sana na nimesoma comments mbalimbali za watu.
Nachotaka nikwambie tu wewe unaeangaika muda mrefu kutafuta kazi na hupati tatizo sio mtu mwingine yoyote tatizo ni wewe mwenyewe.
Yes tatizo ni wewe, japo wengi hatupendi kukubali huu ukweli kwamba tuna mapungufu upande wetu siku zote tunapenda kutafuta mtu wa kumbebesha mizigo yetu ya lawama.
Vijana wengi tunapenda kulaumu na tukishadanganywa na wajanja haswa wanasiasa basi ndio tunarelax kabisa tukiamini kuna mtu ndio tatizo ndio maana hatutoboi.
Mimi binafsi sinaga time ya kulaumu mtu na imenisaidia sana. Nachukulia almost kila kitu positively.
Ili upate ajira tena nzuri unahitaji vitu vitatu.
1. Skills
2. Connection
3. Confidence au uthubutu.
Kabla ya kumlaumu mtu au kulalamika January mpaka December, jiulize umeshafanya lolote kuwa na hivyo vitu vitatu?
Je ukiitwa kwenye interview wanayohitaji watu wenye uwezo unaweza kuwashinda wenzako?
Unaweza kuandika CV na cover letter inayoweza kukuuza?
Unaweza kujibu vizuri maswali ya kwenye interview?
Una skills ambazo zinahitajika au zinazoweza kukutofautisha na degree holders wenzako?
Ukipata kazi unaweza kuleta results ?
Kabla haujapeleka lawama popote pale anza na wewe.
Lazima ujifunze tuko dunia ya kibepari hakuna wa kukuonea huruma hata ukitia huruma.
Kila mtu na maisha yake usitake watu wapiganie maisha yako wakati umekaa kizembe tu kama fala flani.
Nachotaka nikwambie tu wewe unaeangaika muda mrefu kutafuta kazi na hupati tatizo sio mtu mwingine yoyote tatizo ni wewe mwenyewe.
Yes tatizo ni wewe, japo wengi hatupendi kukubali huu ukweli kwamba tuna mapungufu upande wetu siku zote tunapenda kutafuta mtu wa kumbebesha mizigo yetu ya lawama.
Vijana wengi tunapenda kulaumu na tukishadanganywa na wajanja haswa wanasiasa basi ndio tunarelax kabisa tukiamini kuna mtu ndio tatizo ndio maana hatutoboi.
Mimi binafsi sinaga time ya kulaumu mtu na imenisaidia sana. Nachukulia almost kila kitu positively.
Ili upate ajira tena nzuri unahitaji vitu vitatu.
1. Skills
2. Connection
3. Confidence au uthubutu.
Kabla ya kumlaumu mtu au kulalamika January mpaka December, jiulize umeshafanya lolote kuwa na hivyo vitu vitatu?
Je ukiitwa kwenye interview wanayohitaji watu wenye uwezo unaweza kuwashinda wenzako?
Unaweza kuandika CV na cover letter inayoweza kukuuza?
Unaweza kujibu vizuri maswali ya kwenye interview?
Una skills ambazo zinahitajika au zinazoweza kukutofautisha na degree holders wenzako?
Ukipata kazi unaweza kuleta results ?
Kabla haujapeleka lawama popote pale anza na wewe.
Lazima ujifunze tuko dunia ya kibepari hakuna wa kukuonea huruma hata ukitia huruma.
Kila mtu na maisha yake usitake watu wapiganie maisha yako wakati umekaa kizembe tu kama fala flani.