Hivi ni kwanini wanawake munaoneana wivuHuyo siyo Beyonce asilia ni makeup na icha za Beyonce zilizopambwa. Siku hizi watu wanacheza na makeup na graphics, anawezekana kuwekwa vyovyote anavyotakikana aonekane.
Hizo picha mwenyewe akiziona anauliza "huyu nani?"
Hii ni picha ya wiki jana akiwa na mumewe.Subiri nimuone 'live', nitaleta mrejesho
ajuza na wewe weka yako ukiwa na miaka 25 miaka ile ya sabini tuone ulionekanaje.Huyo siyo Beyonce asilia ni makeup na icha za Beyonce zilizopambwa. Siku hizi watu wanacheza na makeup na graphics, anawezekana kuwekwa vyovyote anavyotakikana aonekane.
Hizo picha mwenyewe akiziona anauliza "huyu nani?"
FaizaFoxy lazima aone wivu. Usikute yeye kazaliwa 1999 maziwa yamelala kama dekio, sura imekomaa mpk make up zinadunda. Bado kanenepeana minyama inqning'inia kama utumbo wa nyongeza.Hivi ni kwanini wanawake munaoneana wivu
Hii picha ni ya 2019 kwenye uzinduzi wa the lion king
😅😅 PhotoLab imewabamba wadada sio poah hawajui piah inawaponza tukiwaona liveKuna dem alintumia picha,ila nilivyoenda kukutana nae walah ni watu wawili tofauti,nilpochunguza vizuri ile picha kuna maandishi chini ya picha yake yanaitwa Photo Lab.
kwi kwi kwi teh teh teh mie wa'50s.FaizaFoxy lazima aone wivu. Usikute yeye kazaliwa 1999 maziwa yamelala kama dekio, sura imekomaa mpk make up zinadunda. Bado kanenepeana minyama inqning'inia kama utumbo wa nyongeza.
Kwa ubaya huo anaachaje kumuonea wivu Beyonce mwenye umri wa mamake lkn bado anang'ara ?
Weka picha zako za 99 na '23 u back up maandishi yako.View attachment 2767926
Huyu ni Beyonce wa mwaka 1999 na mwaka 2023 . Ndo kwanza anazidi kuwa mtoto!
Uzee unazuilika!
Imepew na nani!?Hii couple naona imepewa masharti ya kutotengana