Kama unatafuta maisha hamia Dodoma hutajutia

Kama unatafuta maisha hamia Dodoma hutajutia

JOHNGERVAS

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2016
Posts
1,450
Reaction score
2,498
Dodoma, jiji kuu la Tanzania, linajivunia hali ya hewa ya kupendeza, wanawake wenye haiba nzuri wenye kila sifa ya kuitwa warembo9hasa kondoa), na sehemu bora za burudani.

Mji huu unakua kwa kasi, ukiwa na fursa tele katika biashara, kilimo, na uwekezaji. Utalii wa ndani unashamiri kwa vivutio kama Mlimwa Hills na mashamba ya mizabibu.

Kwa mpenda maisha, kuna kumbi nzuri za starehe nyingi sana. Shida Kubwa ya Dodoma ni vitu vingi bei juu sana.
 
Dodoma, jiji kuu la Tanzania, linajivunia hali ya hewa ya kupendeza, wanawake wenye haiba nzuri wenye kila sifa ya kuitwa warembo9hasa kondoa), na sehemu bora za burudani.

Mji huu unakua kwa kasi, ukiwa na fursa tele katika biashara, kilimo, na uwekezaji. Utalii wa ndani unashamiri kwa vivutio kama Mlimwa Hills na mashamba ya mizabibu. Kwa mpenda maisha, kuna kumbi nzuri za starehe nyingi sana. Shida Kubwa ya Dodoma ni vitu vingi bei juu sana.

Wakuu leo mchana naenda Dodoma naomba mwenye Private Car Anisogeze hapo natokea Mbezi Mwisho
Naona umetumwa na inzi wa kijani na njano kuzima mjadala wa ripoti ya CAG. Mkuu wa inzi wa kijani na njano amesema wizi kwenye mashirika ya umma ni wa miaka ya nyuma. Sasa nakuuliza wewe chawa wa inzi wa kijani kama huo wizi umefanywa miaka ya nyuma ni kwa nini hiyo ripoti isomwe mwaka huu? Kwa nini isingesomwa miaka hiyo hiyo ya nyuma? Bata wahed!
 
Dodoma, jiji kuu la Tanzania, linajivunia hali ya hewa ya kupendeza, wanawake wenye haiba nzuri wenye kila sifa ya kuitwa warembo9hasa kondoa), na sehemu bora za burudani.

Mji huu unakua kwa kasi, ukiwa na fursa tele katika biashara, kilimo, na uwekezaji. Utalii wa ndani unashamiri kwa vivutio kama Mlimwa Hills na mashamba ya mizabibu. Kwa mpenda maisha, kuna kumbi nzuri za starehe nyingi sana. Shida Kubwa ya Dodoma ni vitu vingi bei juu sana.

Wakuu leo mchana naenda Dodoma naomba mwenye Private Car Anisogeze hapo natokea Mbezi Mwisho
Kilimo gani Dodoma Acha uongo
 
IMG-20250327-WA0032.jpg
 
Naona umetumwa na inzi wa kijani na njano kuzima mjadala wa ripoti ya CAG. Mkuu wa inzi wa kijani na njano amesema wizi kwenye mashirika ya umma ni wa miaka ya nyuma. Sasa nakuuliza wewe chawa wa inzi wa kijani kama huo wizi umefanywa miaka ya nyuma ni kwa nini hiyo ripoti isomwe mwaka huu? Kwa nini isingesomwa miaka hiyo hiyo ya nyuma? Bata wahed!
Duuh sawa, mimi Hiyo paragraph ya mwisho ndio lengo la huu uzi
 
Dodoma, jiji kuu la Tanzania, linajivunia hali ya hewa ya kupendeza, wanawake wenye haiba nzuri wenye kila sifa ya kuitwa warembo9hasa kondoa), na sehemu bora za burudani.

Mji huu unakua kwa kasi, ukiwa na fursa tele katika biashara, kilimo, na uwekezaji. Utalii wa ndani unashamiri kwa vivutio kama Mlimwa Hills na mashamba ya mizabibu.

Kwa mpenda maisha, kuna kumbi nzuri za starehe nyingi sana. Shida Kubwa ya Dodoma ni vitu vingi bei juu sana.
Kwa maelezo uliyayatoa kichwa cha habar kilitakiwa kisomeke "" Kama umeshajipata kimaisha hamia Dodoma hutojutia"
 
Back
Top Bottom