little master
JF-Expert Member
- Jul 16, 2018
- 2,289
- 4,436
Denis Yuko wapiunamjua yupi mzee wangu
Denis Yuko wapiunamjua yupi mzee wangu
Asilimia 80 wa wabongo wengi wanapenda starehe na anasa ,ila shida ni vipato tu,ndiyo maana kila unayekutana naye atakwambia sipendi mambo ya starehe Kwa sababu yanamaliza hela.mimi nilijua ataeleza fursa zlizopo za kazi,biashara kumbe starehe na anasa
Denisi yupi bossDenis Yuko wapi
Haya kila la kheri tutaamia Dodoma.Denisi yupi boss
Asilimia 80 wa wabongo wengi wanapenda starehe na anasa ,ila shida ni vipato tu,ndiyo maana kila unayekutana naye atakwambia sipendi mambo ya starehe Kwa sababu yanamaliza hela.
Hizo pia ni fursa mkuu. kama unaona Sehemu zenye sehemu nyingi za starehe hakuna fursa, kuna mtu ataiona Fursamimi nilijua ataeleza fursa zlizopo za kazi,biashara kumbe starehe na anasa
Aya ya pili ilitakiwa iwe ya kwanza, Aya ya kwanza ilitakiwa iambatane na ya mwisho, hivo ni 1 kwa 2Dodoma, jiji kuu la Tanzania, linajivunia hali ya hewa ya kupendeza, wanawake wenye haiba nzuri wenye kila sifa ya kuitwa warembo9hasa kondoa), na sehemu bora za burudani.
Mji huu unakua kwa kasi, ukiwa na fursa tele katika biashara, kilimo, na uwekezaji. Utalii wa ndani unashamiri kwa vivutio kama Mlimwa Hills na mashamba ya mizabibu.
Kwa mpenda maisha, kuna kumbi nzuri za starehe nyingi sana. Shida Kubwa ya Dodoma ni vitu vingi bei juu sana.
Zirekebishe mkuu alafu uziweke hivyoAya ya pili ilitakiwa iwe ya kwanza, Aya ya kwanza ilitakiwa iambatane na ya mwisho, hivo ni 1 kwa 2
Karibu sana Mpango hapaHaya kila la kheri tutaamia Dodoma.
Denis philipo niliwah kumuona chanika huko mwaka 2021 kama umemaanisha huyo.Haya kila la kheri tutaamia Dodoma.