Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 39,391
- 94,713
Kasola imigulu kabana 😹😹Kilugha simple tu "Shabani Madobe ataka kumsola i mwana,imwana nae kalemwa
Kasola imigulu kabana 😹😹Kilugha simple tu "Shabani Madobe ataka kumsola i mwana,imwana nae kalemwa
Nipo lindo🤣🤣My love wa Fanya nn huku,
Wananitaka sana hawa mabinti wa ovyo si unaonaNipo lindo🤣🤣
Mashati wateja si nyie baghosha 😹😹Shenz sana wewe winga choka mbaya, unnafikir hizo cover za simu na mashati ya mtumba ndo dili sanaa achana na kuwa ktuko wachaga wenzio wanamiliki apartments.
Hayupo kwenye hii convo tuliokuwa watatu sasa hao wawili ni mmojaNa mzigua yuko wapi?
Wewe leo ukaamua uje kivingine sio...Huyo hata hajui kipi ni kipi 😹😹
Kila anachoongea anakosea..!!
Hapana nataka wasukuma wanisaidie kulima 😹😹Oyaa nenda kwa wamasai wenzako kwenye Maswala ya pesa wafwate hao hao njaa wenzako
Kuna wazigua ila sio matako yule, na hata hivyo mimi sinaga skendo za kijinga ni nyie nyie mnaji tekenya na kujikunaHana pa kuchomokea ni yeye 😹😹😹
Kutoka usukumani hadi uziguani sio mchezo 😹
Mie mkongwe humu ujue🤣🤣🤣Hayupo kwenye hii convo tuliokuwa watatu sasa hao wawili ni mmoja
Kuna uandishi wake fulani hivi ameshindwa kuubadilisha.Hana pa kuchomokea ni yeye 😹😹😹
Kutoka usukumani hadi uziguani sio mchezo 😹
Sasa Uwinga si ndo biashara yenyewe 😹We lia lia huna lolote, choka mbaya unajifanya eti unamiliki biashara kumbe winga kula yako juani tena siku nzima bustard
Hahaha hivi yame toka kwel leo?Sasa Uwinga si ndo biashara yenyewe 😹
Vipi sasa kuna shati la njano hapa vitu vyako kabisaa tajiriii. Bei zetu zile zile elfu 25 😹
Kumbe wewe msukuma!! Hebu kuja tuongee vizuri🤣🤣My love hawa kausha damu wamekuwa wakinitamani kwa muda sana ila wameshindwa kuongea waki fikiri mimi msukuma Nita washadadia... Kumbe najua vitu vyangu kama wewe...
Hahaha umeanza kujudge sasa.Kumbe wewe msukuma!! Hebu kuja tuongee vizuri🤣🤣
Mi nikusake wewe? 😹😹Haha Unachekesha sana😂 am way higher na wasukuma sio wamasai..
Kweli Unachekesha sanaa umenisaka na ID zako ila umeambulia patupu
Kalog off kaingia kwa de gunner 😹Na mzigua yuko wapi?