Kama unamjua mtaje?

Kama unamjua mtaje?

Kuna wazigua ila sio matako yule, na hata hivyo mimi sinaga skendo za kijinga ni nyie nyie mnaji tekenya na kujikuna
Mziguwa usituchoshe ujue 😹😹
Kweli wewe sio mziguwa ni msukuma.
Sasa kwanini ukajiita mziguwa?
 
Kuna uandishi wake fulani hivi ameshindwa kuubadilisha.
😹😹😹 Na wewe umeona?
Huyu de gunner mziguwa mjinga mjinga hajui hata kudanganya kwenye mwandiko..!!
 
Yaani anapost halafu anajitag kwenye id nyingine halafu anaingia kwa id nyingine anacomment halafu anarudi kule tena analike halafu anarudi tena anajireply🤣🤣🤣🤣🤣bila shaka atakuwa afisa maoni humu
 
Ila wana vituko kama yule Kaka yao unayemteteaga😂
😹😹😹 Yule sasa ndio chairman wao..!!
Kakaa USA miaka kibao lakini Kama ndo kafika jana..!! 🏃‍♀️‍➡️🏃‍♀️‍➡️🏃‍♀️‍➡️🏃‍♀️‍➡️
 
Back
Top Bottom