Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 45,265
- 95,544
Hahahaha,dahHiyo ndio ukisikia watu wamevurugwa!dawa za kuoga wamekunywa,dawa kunywa wameoga.
Hahahaha,dahHiyo ndio ukisikia watu wamevurugwa!dawa za kuoga wamekunywa,dawa kunywa wameoga.
Bado hajakaribishwa na wahabesh kwani?😂Hajui km wahabesh tunaongea lugha mbalimbali mpaka za bibi mzaa bibi yake..!! 😹😹😹
Ana Kamba mguuni huyu mitaa haijui..!!
🤣🤣 umkome msukuma wangu.Ukweli kwamba nakutaka? 😹😹
Makaveli umemuacha? 😹😹Lamomy muache msukuma wangu tafadhali🤣
Afya ya ubongohata mleta mada atakuja kucomment kwa id zake nyingine hapa
Mzungu wangu,laaziz kwema?Hahahaha,dah
Usimpe kichwa winga my love, njaa kali hana lolote huyoo. Anataka baadae umpe hela ya juice jua limemchap vibaya hapoLamomy muache msukuma wangu tafadhali🤣
Bado Hata Christmas 1 hana 😹😹😹Bado hajakaribishwa na wahabesh kwani?😂
Kwema kabisa kipenziMzungu wangu,laaziz kwema?
Huyu msukuma mjinga mjinga atakutia aibu nakwambia..!! 😹😹🤣🤣 umkome msukuma wangu.
HahahahaSi nasikia wasukuma wa Geita sijui Katoro ndio matajiri wapya mjini wewe humtaki tajiri de Gunner ?
Makaveli aliniacha na talaka 3 juu. Yaani haina kurudi hiyo🙆♂️🙆♂️Makaveli umemuacha? 😹😹
Huyu msukuma ukamdate huko huko Shinyanga usituletee huku town tumechoka kuwavusha barabara za mwendokasi..!! 😹😹😹
Mbona unakenua kenua kama kamongo boya wewe? 😅Ukweli kwamba nakutaka? 😹😹
Mawinga wana helaa, hebu tuongee nae vizuri.Usimpe kichwa winga my love, njaa kali hana lolote huyoo. Anataka baadae umpe hela ya juice jua limemchap vibaya hapo
We mchawi hata town unakuja na gari ya bosi upunguze matumizi na kubakwa njiani unajifanya lomolomo ka mwendawazimu😅😂Makaveli umemuacha? 😹😹
Huyu msukuma ukamdate huko huko Shinyanga usituletee huku town tumechoka kuwavusha barabara za mwendokasi..!! 😹😹😹
🤣🤣🤣🤣 huyo huyo ndio namtaka.Huyu msukuma mjinga mjinga atakutia aibu nakwambia..!! 😹😹
Hela gani? Washamba njaa kaliMawinga wana helaa, hebu tuongee nae vizuri.