Vipofu wawili wakimgusa tembo, mwingine atasema tembo ni mkubwa kama ungo,kumbe aligusa sikio!mwingine atasema tembo ni mkubwa mrefu kama chatu kumbe alishika mkonga!
it's a personal perspective from where ur sitting, wakati wengine wanauana kwenye ndoa,na wengine kutapeliana na mwisho kutengsna, wengine wamedumu mpaka kifo!Edward lowasa na Regina, Nyerere na maria, Samuel Sita, nk, Wengine kama Davis Mosha, Mengi,walitengqna mapema.
Sasa wewe ukibamizwa na mapenzi kwa, ujinga wako, usifikilie na wengine wanabamizwa hivyo!