Kama unaamini unapendwa unajidanganya

Kama unaamini unapendwa unajidanganya

Wasalamu.

Katika ulimwengu wa leo hakuna mapenzi ya dhati kama zamani miaka ya 1980 kurudi nyuma.

Ukienda kutambulishwa ukweni Cha kwanza wanauliza anafanya kazi gani.

Hawa wa kileo mnajuana Leo na deni linaanza hapo hapo.Shida kibao mpaka za ukoo wao.

Siku hizi Kuna biashara ya mapenzi ila usijidinganye kwamba anapendwa mtu.

Kama unaamini unapendwa unajidanganya ndugu.

Ukitaka kulijua penzi la mkeo firisika au fukuzwa kazi.
Hahah!! Watu mnapitia magumu hadi mnadhan kila mtu ana hali kama hiyo. Mapenzi ya kweli yapo bila haa kuzingatia una hali gani.
 
Maamaeee! Kijiji gani hiko sasahivi!? Mtu unamuuliza unanipenda anacheka.... Hunipendi anacheka.... Kesho njoo gheto anacheka... Au hautafika?.... Anacheka then anataka hela ale kona


Kifupi huko bush ndo kuna vijini kabisa havieleweki. Nadhani tuendelee tu na born town wetu
Hahaaa
 
Mtazamo wangu.
Wanaume tunaitaji Wanawake/Mwanamke, Ila tambua mwanamke hakuitaji wewe Ila anaitaji Pesa yako/ Anahitaji kuhudumiwa, pia mwanamke anaitaji Faida kwanza kwenye mapenzi. Na Ndio maana mwanamke ukimtongoza tu kila shida utapewa, pia mwanamke amemchukulia Mwanaume Kama kitega uchumi, mwanamke Hata awe na kazi, Pesa yake Ni yake, na Pesa yako Ni yake.
Kiufupi Sasa hivi, mapenzi Hakuna watu wapo kimaslahi zaidi...
Wanawake wanaongoza mwanamke avui chup mpaka awe amekula Sana Pesa zako ndo atakupa, hapo maslahi tu.
 
mijadala ya ndoa na hela inaletwa kila siku nasisi wanaume!,kwani jinsia ya wenzetu hawana malalamiko..??
mbona kama kuna kitu tunafanywa na hawa wenzetu na wametulia tuli dawa ituingie..😂
😂😂😂wenzetu wanalalamikia vibamia na kuwa tunawatelekeza njiani hatuwafikishi kirimanjaro kileleni.
 
Wasalamu.

Katika ulimwengu wa leo hakuna mapenzi ya dhati kama zamani miaka ya 1980 kurudi nyuma.

Ukienda kutambulishwa ukweni cha kwanza wanauliza anafanya kazi gani.

Hawa wa kileo mnajuana Leo na deni linaanza hapo hapo.Shida kibao mpaka za ukoo wao.

Siku hizi Kuna biashara ya mapenzi ila usijidinganye kwamba anapendwa mtu.

Kama unaamini unapendwa unajidanganya ndugu.

Ukitaka kulijua penzi la mkeo firisika au fukuzwa kazi.
Hakunaga zaidi yangu me na yeye, hakunaaaga.
 
Wasalamu.

Katika ulimwengu wa leo hakuna mapenzi ya dhati kama zamani miaka ya 1980 kurudi nyuma.

Ukienda kutambulishwa ukweni cha kwanza wanauliza anafanya kazi gani.

Hawa wa kileo mnajuana Leo na deni linaanza hapo hapo.Shida kibao mpaka za ukoo wao.

Siku hizi Kuna biashara ya mapenzi ila usijidinganye kwamba anapendwa mtu.

Kama unaamini unapendwa unajidanganya ndugu.

Ukitaka kulijua penzi la mkeo firisika au fukuzwa kazi.
Hata zamani ukienda kutambulishwa ni lazima uue Simba au ulete magovi ya maadui zenu
 
Mtazamo wangu.
Wanaume tunaitaji Wanawake/Mwanamke, Ila tambua mwanamke hakuitaji wewe Ila anaitaji Pesa yako/ Anahitaji kuhudumiwa, pia mwanamke anaitaji Faida kwanza kwenye mapenzi. Na Ndio maana mwanamke ukimtongoza tu kila shida utapewa, pia mwanamke amemchukulia Mwanaume Kama kitega uchumi, mwanamke Hata awe na kazi, Pesa yake Ni yake, na Pesa yako Ni yake.
Kiufupi Sasa hivi, mapenzi Hakuna watu wapo kimaslahi zaidi...
Wanawake wanaongoza mwanamke avui chup mpaka awe amekula Sana Pesa zako ndo atakupa, hapo maslahi tu.
Saiv ni pesa tu unapoingia kwenye mahusiano ujipange..
 
Wasalamu.

Katika ulimwengu wa leo hakuna mapenzi ya dhati kama zamani miaka ya 1980 kurudi nyuma.

Ukienda kutambulishwa ukweni cha kwanza wanauliza anafanya kazi gani.

Hawa wa kileo mnajuana Leo na deni linaanza hapo hapo.Shida kibao mpaka za ukoo wao.

Siku hizi Kuna biashara ya mapenzi ila usijidinganye kwamba anapendwa mtu.

Kama unaamini unapendwa unajidanganya ndugu.

Ukitaka kulijua penzi la mkeo firisika au fukuzwa kazi.
Hili tulishaongea hapa pia.

 
Vipofu wawili wakimgusa tembo, mwingine atasema tembo ni mkubwa kama ungo,kumbe aligusa sikio!mwingine atasema tembo ni mkubwa mrefu kama chatu kumbe alishika mkonga!

it's a personal perspective from where ur sitting, wakati wengine wanauana kwenye ndoa,na wengine kutapeliana na mwisho kutengsna, wengine wamedumu mpaka kifo!Edward lowasa na Regina, Nyerere na maria, Samuel Sita, nk, Wengine kama Davis Mosha, Mengi,walitengqna mapema.

Sasa wewe ukibamizwa na mapenzi kwa, ujinga wako, usifikilie na wengine wanabamizwa hivyo!
Aa, kwa ujinga sio! Haina noumaa.
 
Screenshot_20240309_190809_WhatsApp.jpg
 
Vipofu wawili wakimgusa tembo, mwingine atasema tembo ni mkubwa kama ungo,kumbe aligusa sikio!mwingine atasema tembo ni mkubwa mrefu kama chatu kumbe alishika mkonga!

it's a personal perspective from where ur sitting, wakati wengine wanauana kwenye ndoa,na wengine kutapeliana na mwisho kutengsna, wengine wamedumu mpaka kifo!Edward lowasa na Regina, Nyerere na maria, Samuel Sita, nk, Wengine kama Davis Mosha, Mengi,walitengqna mapema.

Sasa wewe ukibamizwa na mapenzi kwa, ujinga wako, usifikilie na wengine wanabamizwa hivyo!
Hao wamedumu kwa sababu ya pesa,mosha Davis wameachana sababu ya pesa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom