state agent
JF-Expert Member
- Jul 1, 2019
- 1,764
- 2,511
1. Je malaika wapo wakike na wakiume?
2. Je kama wapo wa kike na kiume huzaliana?
3. Je wanaweza kuzaliana na binadamu?
4.kama wapo wa kiume tu kwa nini hakuna wanaume wanaitwa malaika au angel mitaani
5. Kama ni wanawake tu vipi idadi yao huongezeka vilevile kama ni wanaume tu?
Cc ,mshara Jr,kilanga
2. Je kama wapo wa kike na kiume huzaliana?
3. Je wanaweza kuzaliana na binadamu?
4.kama wapo wa kiume tu kwa nini hakuna wanaume wanaitwa malaika au angel mitaani
5. Kama ni wanawake tu vipi idadi yao huongezeka vilevile kama ni wanaume tu?
Cc ,mshara Jr,kilanga