Kama umewahi kushuhudia live nguvu za giza pita hapa uweke ushuhuda wako

Uliona nini???

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama hayajakukuta ni rahisi sana kuita hii ni chai.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niongezee sukari mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Congo, Wale waasi Wachawi balaa....una shoot ni karatasi tu zinatoka! Lakini walikaa na kagame wao, walale Salama Wenzetu mbele za haki,raia hawajui, hao waasi kuna muda sehemu za Tungi na mishe mko nao Marafiki kabisa.ila amri ikitoka hakuna namna
 

Aisee nimecheka sana hii story
 
Nimecheka mpk yf kaniomba simu! Wewe Jamaa utakuwa CCM wewe!
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii chai ina pilipili manga sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole sana brother. Inaumiza sana. Endelea kuomba kumtumaini Bwana Yesu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiranga acha Kuyafanya maisha yako yakawa magumu humu Jf kwa kuwa na mitazamo ya aina hiyo kuhusu hoja zako watu wengine humu JF.
Najua watu hatufanani uwezo wa kufikiria sababu ya vitu vingi kama elimu, mazingira tuliyokulia , lishe n.k

Kama kitu haukijui au hauamini kama kipo basi anzisha uzi, watu watakuja na kukusaidia kukijua na ukiona bado haujaelewa na hauamini hilo jambo basi acha ili watu wanaojua au wanaamini hilo jambo waendelee na Imani zao.

Nimeandika hivyo sababu hoja zako zinakejeli, dhihaka , dharau n.k kuhusu hoja za watu wengine hasa hoja unazoona zipo tofauti na unachoamini wewe na kufikiria,

unatakiwa ujue kwamba duniani watu wote hatuwezi kuwa Sawa kwa kila kitu hivyo mada ambayo haikuhusu achana nayo ili maisha ya watu wengine yaendelee
Utasemaje hakuna uchawi wakati hata kuu define uchawi hujaweza?

You are not even wrong!

At least someone can be wrong, but on topic.

You are off topic.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…