Kama umewahi kushuhudia live nguvu za giza pita hapa uweke ushuhuda wako

Umenkumbusha mbali nilitaka niaxe kazi ya ukaguz mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kasukari bado hakajakoza mkuu kwa xai
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hueleweki pumba tupu weka story axa poyoyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ilikua zamani wakati wachaga bado walikua wanashika dini. Wale wa Magomeni mwembe chai unewaona siku hizi?
Hivi wachaga washawahi kushika dini maana kule kwao wanapiga mazongo mpaka nyama na hio ni miaka zaidi ya 25 nyuma
 
Umenikumbusha nyumba moja hivi Tegeta mwaka flani hivi masharti ya mwenye nyumba yalikuwa kama hayo halafu yule mzee alikuwa amepangisha nyumba nzima halafu yeye anaishi chumba kimoja cha uwani karibu na choo tena chumba chake hakuna umeme.
Ikifika kuanzia saa 5 usiku huruhusiwi kwenda bafuni wala chooni na ikitokea ukapishana naye mwenye nyumba muda huo usimsalimie!
Halafu yule mzee hakuwa na mke wala mtoto wala hakuna aliyewahi kuingia ndani kwake na aliishi maisha duni sana sijui pesa za kodi alikuwa anapeleka wapi!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Basi kama ni hivyo issue hii ina theories nyingi.Inasemekana kuwa baada ya H/ W mpya ya Msalala kuundwa ulitokea mvutano mkali wa wapi pawe makao makuu kati ya Ntobo na Segese nadhani, ni katika pilika hizo kamati za ufundi zilihusishwa, inasemekana vijiji vyote viwili vilikuwa na kamati za ufundi, kijiji kimojawapo kilipotupiwa hilo kombora katika jitihada za kukwepa ndio yakatokea hayo maafa, lengo lilikuwa ku-puch kombora na kulituma Ziwa Victoria hili lipotelee ziwani, kutokana na umbali likawakumba watu wa Mwakata.
 
jini kapatikana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
uende ukiwa kawaida mkuu bila kua na sapoti ya kilevi chochote ili uone live kama vipo au ni maneno tu usisahau mrejesho .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…