Asee jamaa alikuwa fundi sana sema kuacha taarabu ndo kumeumaliza huo mziki hapa Tz.yenzela kula raha za dunia,miye nikiusikia wa daktari wa mapenzi,hasa pale anaposema "helua helua heluaa" moyo wangu unatiririkaa!
AsanteMWANAKA ni mzanzibari mmoja wa kiume,mtaalamu wa mziki wa taarabu aliyeamua kumgeukia Mungu na hivyo kuachana na mziki kabisa
Ajabu wanaotunga na wanao produce ni wanaume. Kuimba ndio wote pia. Sasa kwanini wakiume wasisikilize?Hizo nyimbo za Taarabu wanasema hasiskilizwaji na watoto wa kiume, sasa bado sijajua kama hili katazo lilisha tenguliwa na kiongozi wa wanaume Tanzania