B R A C E L E T
JF-Expert Member
- Nov 11, 2018
- 2,357
- 4,383
Dress code Ni Dira?
Dress code Ni Dira?
mfalmeeeeArosto ya kummisi mziki mpya wa Mzee Yusuph itaniua.
Kama na wewe umeumisi mziki wake ebu dondosha neno la lolote tufarijiane.
Mimi nyimbo zote za mfalme ninazipenda.
Hivi Ile alamba alamba inaitwajeMimi nyimbo zote za mfalme ninazipenda.
Mpenzi Chocolate.Hivi Ile alamba alamba inaitwaje
Natoka nje ya mada kidogo.Mpenzi Chocolate.
Hapana mkuuMpenzi Chocolate.
Ni dactar wa mapenz bwanaMpenzi Chocolate.
Miongoni mwa mabondia nisio wakubali ,Mwakinyo ni mmoja wapo.Natoka nje ya mada kidogo.
Hivi hili pambano la Mwakinyo na Mkongo lina hadhi kweli au ni kama ndondo manake Mwakinyo juzi kati nilisikia amedrop kidogo kwenye mabondia wazuri kutoka Africa ,pamoja na kupigana na yule Mfilipino.
Pole sana. Mkuu. Usipojichanganya utapitwa!Mtoto wa kiume kusikiliza taarabu ntakuwa nina mashaka na ww