Umomi
JF-Expert Member
- Mar 31, 2020
- 677
- 994
Habari zenu!
Aisee kumekuwa na watu wengi sana hasa hapa Jamii Forums ambao wamekuwa wakihamasishana kuwa vijana wajaribu kujiajiri hasa ambao wamehitimu Elimu ya chuo kiku. Sema kweli nimekuwa nikipingana nao kwa hoja zifutazo
1. Kujiajiri wakati mwingine ni kipaji
2. Kujiajiri nje ya taaluma yako ni kama umepoteza muda kusomea taaluma hiyo
Kujiajiri inahitaji uwe na mtaji wa kutosha ili ufanye mambo ambayo ni tofauti
Nihitimishe kwa kusema kuwa ktk kujiajiri jmn tunapata pesa ya kawaida sana hivyo tusiwe tunadanganya vijana kuwa ukijiajiri utapata mafanikio haraka sana. Karibuni kwa maoni yenu
Aisee kumekuwa na watu wengi sana hasa hapa Jamii Forums ambao wamekuwa wakihamasishana kuwa vijana wajaribu kujiajiri hasa ambao wamehitimu Elimu ya chuo kiku. Sema kweli nimekuwa nikipingana nao kwa hoja zifutazo
1. Kujiajiri wakati mwingine ni kipaji
2. Kujiajiri nje ya taaluma yako ni kama umepoteza muda kusomea taaluma hiyo
Kujiajiri inahitaji uwe na mtaji wa kutosha ili ufanye mambo ambayo ni tofauti
Nihitimishe kwa kusema kuwa ktk kujiajiri jmn tunapata pesa ya kawaida sana hivyo tusiwe tunadanganya vijana kuwa ukijiajiri utapata mafanikio haraka sana. Karibuni kwa maoni yenu