Kama ulikula hizi pipi na bado uko kwenu

Kama ulikula hizi pipi na bado uko kwenu

PRINCE PRIS

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2015
Posts
347
Reaction score
587
0281d1fdbfdf1d4a1eead3d5a6698d5e.jpg


Kwani hizi pipi za mwaka gani [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] alaf wanaotunga ndo wale wanao omba wapate mke au mume alafu kama mungu vile awaoni achane hizi mambo
 
ila kuna kama ka ukweli..

japo sina mpango wa kuhama home kabisa.. na 30 yangu hii... nikihama chumba changu atalala nani???

na ajira zenyewe wasiwasi tu why nikalipe kodi kwa mtu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] si unakipangisha
 
hizo pipi ziliniletea mchumba enzi hizo za kufanya kinguo nguo... hataro sana!!!!
 
hii dunia siyo mahali salama kuishi, yaani ukiishi kwenu msala, ukipanga mwisho wa mwezi huna kodi pia msala duuuh!!!, acha watu waishi kwao usawa wenyewe huu
 
Back
Top Bottom