hahahaaaa hizi ndio umeua kabisaaaHizo mbona za juzi tu,hizi je!View attachment 502649
Mimi sijala hizoMbona tumekula sana pamoja na zile nyeupe (pipi kidonge) na zilikiwepo zingine pipi kalam hebu kumbuka kidogo [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Hizi nmezila sana na bado nko nyumbani napetaaHizo mbona za juzi tu,hizi je!View attachment 502649
Labda kijijini kwetu hazikuwepo...Pachaa[emoji15] [emoji15] mi mbn nazijua
Mmmh pacha wewe umetoka kijiji gsni??Labda kijijini kwetu hazikuwepo...
Kolomije....Labda kijijini kwetu hazikuwepo...
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]Tusipeane pressure bure hapa.
Nakaribia kukuchukua mazimaHizi nmezila sana na bado nko nyumbani napetaa
Dah!![]()
Kwani hizi pipi za mwaka gani [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] alaf wanaotunga ndo wale wanao omba wapate mke au mume alafu kama mungu vile awaoni achane hizi mambo
Na peremende.Mbona tumekula sana pamoja na zile nyeupe (pipi kidonge) na zilikiwepo zingine pipi kalam hebu kumbuka kidogo [emoji1] [emoji1] [emoji1]
SanaaaZilikuwa tamu kishenzi ilikuwa nikipewa hela nakimbilia dukan kununua tofi
Wewe ni legendary heheeMbona tumekula sana pamoja na zile nyeupe (pipi kidonge) na zilikiwepo zingine pipi kalam hebu kumbuka kidogo [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Bora tu wasije tu anza kunisema òoh kakosa wa kumuoa anazeekea nyumbn mana binadam hawashindwiNakaribia kukuchukua mazima
Hizi ndio za zamani, nakumbuka moja nilikuwa nanunua kwa shilingi tano tu.Hizo mbona za juzi tu,hizi je!View attachment 502649
Haha hahaha. ...you made my dayHaha.
Usikimbilie mume utaukondesha
Moyo
Kama ulikula hizo perende ujue lazima watu wanasema.Bora tu wasije tu anza kunisema òoh kakosa wa kumuoa anazeekea nyumbn mana binadam hawashindwi