Mfano hapo juzi tu nchini Pakistan muislam kaingia kwenye msikiti kajilipua bomu, wasilam 31 wamepoteza maisha
Ni nchi nyingi za kiislam imeshakuwa kawaida kusikia wakiuana kwa misingi ya kidini
wataalam tunaombeni ufafanuzi
Sasa najua kuna watu wataanza kujitetea "mbona nchi za kikristo nako huuana" lakini niwape jibu jepesi huwa hawauani kwa jina la Yesu wala misingi ya kidini, ni mambo mengine kabisa.
Ni nchi nyingi za kiislam imeshakuwa kawaida kusikia wakiuana kwa misingi ya kidini
wataalam tunaombeni ufafanuzi
Sasa najua kuna watu wataanza kujitetea "mbona nchi za kikristo nako huuana" lakini niwape jibu jepesi huwa hawauani kwa jina la Yesu wala misingi ya kidini, ni mambo mengine kabisa.