Kuna mda unakuaga sio wewe kabisa, Unaweza kujipunguzia reputation kipumbavu kama hivi..! Kwani ukiandika vizuri tu thread ako unapungukiwa nini mkuu!?
......Shame on you mkuu!
Wakati mwingine, Gentamycine unakosa hoja . Ikiwa na hili andiko
Mkuu, kauli kama hii ingalitolewa na mtu kama Bia Yetu wala watu wengi wasingelistaajabu.Kila mara nakutana tu na 'Picha' zao wakiwa 'Wamekumbatiana' na naona kama vile Maalim Seif Sharrif Hamad ndiyo anapenda mno 'Kumkumbatia' Tundu Lissu ambaye nae pia huwa anaonyesha kabisa 'Kufurahia' vile 'anavyokumbatiwa' hasa mbele ya Kadamnasi. Nashauri tu Wiki ijayo Rais Dk. Magufuli akishinda Uchaguzi Mkuu ujao kwa 'Kishindo' kabisa hawa Wawili 'Wakikumbatie' tu Chama chao Kimoja.
Wana Ccm mmefilisika ki hoja mna vihoja . Inabidi mvumiliwe . Kuelekea kuwa chama cha upinzani kumewachanganya kinomaKamanda ni kweli Tundu na Seif ni maswahiba au "marriage of convenience"?
Kila mara nakutana tu na 'Picha' zao wakiwa 'Wamekumbatiana' na naona kama vile Maalim Seif Sharrif Hamad ndiyo anapenda mno 'Kumkumbatia' Tundu Lissu ambaye nae pia huwa anaonyesha kabisa 'Kufurahia' vile 'anavyokumbatiwa' hasa mbele ya Kadamnasi. Nashauri tu Wiki ijayo Rais Dk. Magufuli akishinda Uchaguzi Mkuu ujao kwa 'Kishindo' kabisa hawa Wawili 'Wakikumbatie' tu Chama chao Kimoja.
mpe na t.go kbs kama unampenda sana, kura haitoshi!.'Mwamba' Dkt. John Pombe Joseph Magufuli Rais Mtarajiwa na Mshindi wa 'Kura' zote 29,188,347 kutoka Vituo 80,155 vya Kupigia 'Kura' hizo zote.
Na wote wake zao wako nje, tafakari hapo hawa w a s e n g e wasitake kuivuruga nchi...Zitto na Maalim hawakuwa na uhakika kama TL angerejea Tanzania.
..Wangekuwa na uhakika basi leo hii CUF-Maalim Seif, ACT, na CDM, wangekuwa wameshaungana.
Acha na Hilo linalokula matapishi yake lenyewe ata MBWA hawezi fanya ivyo.'Mwamba' Dkt. John Pombe Joseph Magufuli Rais Mtarajiwa na Mshindi wa 'Kura' zote 29,188,347 kutoka Vituo 80,155 vya Kupigia 'Kura' hizo zote.
Kumbato la kilghai mkuuKila mara nakutana tu na 'Picha' zao wakiwa 'Wamekumbatiana' na naona kama vile Maalim Seif Sharrif Hamad ndiyo anapenda mno 'Kumkumbatia' Tundu Lissu ambaye nae pia huwa anaonyesha kabisa 'Kufurahia' vile 'anavyokumbatiwa' hasa mbele ya Kadamnasi. Nashauri tu Wiki ijayo Rais Dk. Magufuli akishinda Uchaguzi Mkuu ujao kwa 'Kishindo' kabisa hawa Wawili 'Wakikumbatie' tu Chama chao Kimoja.
Acha dharau, unawatukana watu wazima hadharani! Unaitumia vibaya siasa, wewe ulipokuwa unakumbatiwa mgongoni na Jabir nani alikusema! Acha hizo.Kila mara nakutana tu na 'Picha' zao wakiwa 'Wamekumbatiana' na naona kama vile Maalim Seif Sharrif Hamad ndiyo anapenda mno 'Kumkumbatia' Tundu Lissu ambaye nae pia huwa anaonyesha kabisa 'Kufurahia' vile 'anavyokumbatiwa' hasa mbele ya Kadamnasi. Nashauri tu Wiki ijayo Rais Dk. Magufuli akishinda Uchaguzi Mkuu ujao kwa 'Kishindo' kabisa hawa Wawili 'Wakikumbatie' tu Chama chao Kimoja.
Wakati mwingine, Gentamycine unakosa hoja . Ikiwa na hili andiko