BabaDesi
JF-Expert Member
- Jun 30, 2007
- 6,033
- 3,944
Kwamba Benard Membe, Tundu Lissu, Zitto Kabwe na Seif Sharrif Hamad ndio Wanasiasa Wakuu kwenye Ngome ya Upinzani?
Kwamba wakubaliane tu na kujipanga kwamba Benard Membe agombee Kiti cha Uraisi, Tundu Lisu awe mgombea mwenza ama Vice Versa, Seif Sharrif Hamad agombee Kiti cha Urais Zanzibar na Zitto Kabwe agombee tu Ubunge wake wa Kigoma ili akishinda awe katika mawaziri watakaounda serikali Mpya?
Hivi kweli wanasiasa wetu wa ngome ya upinzani kweli hawajui kuwa umoja ni nguvu na utengano ni Udhaifu?
Hivi Wanasiasa wetu kweli hawatambui kuwa Ubinafsi wao ni udhaifu unaoweza kuishia kwa Jumla ya kura zao mmoja mmoja kuwa nyingi zaidi ya zile za mgombea kutoka Chama Twawala lakini kwa mtindo huu wa kila Mtu kutaka kwenda Kivyake vyake kutaka Uraisi ni Kukaribisha kupigwa bao la nguvu na Mgombea wa Chama Twawala kutokana na kila mmoja kuwa na kura pungufu dhidi ya mgombea wa Chama Tawala?
Hivi miaka yote hiyo toka upinzani ukubaliwe nchini bado haujajifunza tu kwamba Ubinafsi haujengi??
Hivi Upinzani kweli hawaifahamu hesabu rahisi hii??
UPINZANI AMKENI!!
Kwamba wakubaliane tu na kujipanga kwamba Benard Membe agombee Kiti cha Uraisi, Tundu Lisu awe mgombea mwenza ama Vice Versa, Seif Sharrif Hamad agombee Kiti cha Urais Zanzibar na Zitto Kabwe agombee tu Ubunge wake wa Kigoma ili akishinda awe katika mawaziri watakaounda serikali Mpya?
Hivi kweli wanasiasa wetu wa ngome ya upinzani kweli hawajui kuwa umoja ni nguvu na utengano ni Udhaifu?
Hivi Wanasiasa wetu kweli hawatambui kuwa Ubinafsi wao ni udhaifu unaoweza kuishia kwa Jumla ya kura zao mmoja mmoja kuwa nyingi zaidi ya zile za mgombea kutoka Chama Twawala lakini kwa mtindo huu wa kila Mtu kutaka kwenda Kivyake vyake kutaka Uraisi ni Kukaribisha kupigwa bao la nguvu na Mgombea wa Chama Twawala kutokana na kila mmoja kuwa na kura pungufu dhidi ya mgombea wa Chama Tawala?
Hivi miaka yote hiyo toka upinzani ukubaliwe nchini bado haujajifunza tu kwamba Ubinafsi haujengi??
Hivi Upinzani kweli hawaifahamu hesabu rahisi hii??
UPINZANI AMKENI!!