johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,048
- 142,160
Niwe mkweli wanabodi, binafsi napendelea kuona vyama vyote vinasimamisha wagombea kila mtaa ili chama changu CCM kipate fursa sahihi ya kupima jinsi kinavyokubalika.
Serikali imetumia nguvu kubwa kuhamasisha wananchi kujiandikisha kupiga na " kupigiwa" kura hizi haki mbili zinakwenda sawia.
Hivyo wagombea wote wenye sifa bila kujali itikadi ya vyama wapewe fursa ili wananchi wenyewe wakaamue kupitia box la kura.
Binafsi ninaamini kwa kazi kubwa iliyofanywa na Rais Magufuli katika kuwaletea wananchi maendeleo itakuwa ni rahisi zaidi ngamia kupita kwenye tundu la sindano kuliko mwananchi mwenye akili timamu kuchagua Upinzani.
Maendeleo hayana vyama!
Serikali imetumia nguvu kubwa kuhamasisha wananchi kujiandikisha kupiga na " kupigiwa" kura hizi haki mbili zinakwenda sawia.
Hivyo wagombea wote wenye sifa bila kujali itikadi ya vyama wapewe fursa ili wananchi wenyewe wakaamue kupitia box la kura.
Binafsi ninaamini kwa kazi kubwa iliyofanywa na Rais Magufuli katika kuwaletea wananchi maendeleo itakuwa ni rahisi zaidi ngamia kupita kwenye tundu la sindano kuliko mwananchi mwenye akili timamu kuchagua Upinzani.
Maendeleo hayana vyama!