Kama takwimu zinadai tunaongoza kwa kupokea Watalii inakuwaje TANAPA na NGORONGORO hawajaongoza katika kutoa Gawio kwa Serikali?

Kama takwimu zinadai tunaongoza kwa kupokea Watalii inakuwaje TANAPA na NGORONGORO hawajaongoza katika kutoa Gawio kwa Serikali?

Lord Denning

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2015
Posts
23,494
Reaction score
57,869
Something is wrong somewhere!

Kwa muda wa miaka miwili na zaidi sasa takwimu zinazotolewa na Serikali na vyombo mbalimbali vya habari vya ndani na nje ya nchi zinadai kuwa Tanzania tunaongoza kwa kupokea idadi kubwa ya Watalii wanaotembelea nchi yetu ikiwemo mbuga zetu za wanyama na vivutio mbalimbali.

Kutokana na taarifa hizo, tulitegemea leo katika shughuli ya Rais kupokea Gawio kutoka Taasisi na Mashirika ya Umma, Taasisi za TANAPA na NGORONGORO ndizo zingeongoza kwa kutoa Gawio la Serikali.

Tofauti na hayo kwenye shughuli iliyofanyika leo, Taasisi hizi zinazosimamia sekta ya Utalii sio kwamba hazijatajwa kwenye Taasisi zilizoongoza kutoa Gawio bali hata kwenye Taasisi zilizofanya vizuri kwenye kutoa Gawio hazijatajwa wala kupewa tuzo.

Maswali makubwa ya kujiuliza kwenye hili ni;
Fedha za taasisi hizi zinazotajwa kuongoza kupokea wageni ambao tunajua wanalipa hela nyingi zimepelekwa wapi? Je kuna wizi mkubwa unafanywa kwenye Taasisi hizi?

Akili kumkichwa Watanzania.

CCM ni laana.
 
Something is wrong somewhere!

Kwa muda wa miaka miwili na zaidi sasa takwimu zinazotolewa na Serikali na vyombo mbalimbali vya habari vya ndani na nje ya nchi zinadai kuwa Tanzania tunaongoza kwa kupokea idadi kubwa ya Watalii wanaotembelea nchi yetu ikiwemo mbuga zetu za wanyama na vivutio mbalimbali.

Kutokana na taarifa hizo, tulitegemea leo katika shughuli ya Rais kupokea Gawio kutoka Taasisi na Mashirika ya Umma, Taasisi za TANAPA na NGORONGORO ndizo zingeongoza kwa kutoa Gawio la Serikali.

Tofauti na hayo kwenye shughuli iliyofanyika leo, Taasisi hizi zinazosimamia sekta ya Utalii sio kwamba hazijatajwa kwenye Taasisi zilizoongoza kutoa Gawio bali hata kwenye Taasisi zilizofanya vizuri kwenye kutoa Gawio hazijatajwa wala kupewa tuzo.

Maswali makubwa ya kujiuliza kwenye hili ni;
Fedha za taasisi hizi zinazotajwa kuongoza kupokea wageni ambao tunajua wanalipa hela nyingi zimepelekwa wapi? Je kuna wizi mkubwa unafanywa kwenye Taasisi hizi?

Akili kumkichwa Watanzania.

CCM ni laana.
Kwanza nikujulishe taasis za ngorongoro na tanapa kwa muda sasa walikwua wanapeleka mapato hazina, walikuwa hawajiendeshi na wamekuw awakipokea OC, so ni ngumu kutoa gawio

Na hii ilianza kipind cha jpm wakati masharika haya yamepitia misusuko kutokana na covid19 iliyosababisha uhaba wa wageni
 
Kwanza nikujulishe taasis za ngorongoro na tanapa kwa muda sasa walikwua wanapeleka mapato hazina, walikuwa hawajiendeshi na wamekuw awakipokea OC, so ni ngumu kutoa gawio

Na hii ilianza kipind cha jpm wakati masharika haya yamepitia misusuko kutokana na covid19 iliyosababisha uhaba wa wageni
Hata TPA wanafanya hivyo ila wamepewa zawadi leo.

Kuna kitu sio cha kawaida kitakuwa kinaendelea kwenye zile Taasisi. Uzuri tunajua Wazalendo wa kweli wa hili Taifa watatupa tu habari.
 
Hata TPA wanafanya hivyo ila wamepewa zawadi leo.

Kuna kitu sio cha kawaida kitakuwa kinaendelea kwenye zile Taasisi. Uzuri tunajua Wazalendo wa kweli wa hili Taifa watatupa tu habari.
Mbona inafahamika, walikwua wakigawa gawio vizuri sana haswa kipindi cha JPM ,kabla ya mlipuko wa covid 19 mashirika haya yalikuwa yanatoa gawio, ila sababu shughuli zao kubwa ni utalii wakayumba vibaya

Jpm aliamua ku absorb na kuwapa pesa za kuendesha shughuli za kila siku kwa OC, walistruggle sana kimapato, basical pesa zote zilienda BOT , na kusubiri kidogo za kuendeshea shughuli zao.
TPA inategemea mapato yake ya ndani, unlike taasis zingine, hawaendeshwi kwa OC, hivyo kwao ni rahis ku retain mapato, na kutoa gawio

Kwa taasis za maliasili (achilia mbali tawiri na tafori ambao hawazalishi)
Zingine zote zilikuwa hazina mapato ya ndani
 
Something is wrong somewhere!

Kwa muda wa miaka miwili na zaidi sasa takwimu zinazotolewa na Serikali na vyombo mbalimbali vya habari vya ndani na nje ya nchi zinadai kuwa Tanzania tunaongoza kwa kupokea idadi kubwa ya Watalii wanaotembelea nchi yetu ikiwemo mbuga zetu za wanyama na vivutio mbalimbali.

Kutokana na taarifa hizo, tulitegemea leo katika shughuli ya Rais kupokea Gawio kutoka Taasisi na Mashirika ya Umma, Taasisi za TANAPA na NGORONGORO ndizo zingeongoza kwa kutoa Gawio la Serikali.

Tofauti na hayo kwenye shughuli iliyofanyika leo, Taasisi hizi zinazosimamia sekta ya Utalii sio kwamba hazijatajwa kwenye Taasisi zilizoongoza kutoa Gawio bali hata kwenye Taasisi zilizofanya vizuri kwenye kutoa Gawio hazijatajwa wala kupewa tuzo.

Maswali makubwa ya kujiuliza kwenye hili ni;
Fedha za taasisi hizi zinazotajwa kuongoza kupokea wageni ambao tunajua wanalipa hela nyingi zimepelekwa wapi? Je kuna wizi mkubwa unafanywa kwenye Taasisi hizi?

Akili kumkichwa Watanzania.

CCM ni laana.
Jambo la msingi ni kwamba reforms za Samia zimewezesha Gawio kufikia 1.2T haijawahi tokea.

Mwakani Tanesco wataanza kutoa Gawio maan wameanza kupata faida pia

View: https://youtu.be/RgVQhIfQ8Dc?feature=shared
 
Hizo Barabara mnazozunguka huko mnakoimbisha wajinga nyimbo zisizo na mashiko zinajengwa Kwa makamasi yenu?
Na wenye akili ni wewe??? 😁😁😁

Ila nyie masisiyemu bhana..! 😁😁😁

Anayezijenga anatoa pesa yake mfukoni mwake.???
 
Hizo Barabara mnazozunguka huko mnakoimbisha wajinga nyimbo zisizo na mashiko zinajengwa Kwa makamasi yenu?
Kwani wakitaja Gawio barabara hazijengwi? Hawawezi kusema tulipata kiasi kadhaa tukapeleka kwenye Gawio na zimejenga barabara?

Au nitajie wewe barabara gani imejengwa kwa fedha za Tanapa na Ngorongoro?
 
Something is wrong somewhere!

Kwa muda wa miaka miwili na zaidi sasa takwimu zinazotolewa na Serikali na vyombo mbalimbali vya habari vya ndani na nje ya nchi zinadai kuwa Tanzania tunaongoza kwa kupokea idadi kubwa ya Watalii wanaotembelea nchi yetu ikiwemo mbuga zetu za wanyama na vivutio mbalimbali.

Kutokana na taarifa hizo, tulitegemea leo katika shughuli ya Rais kupokea Gawio kutoka Taasisi na Mashirika ya Umma, Taasisi za TANAPA na NGORONGORO ndizo zingeongoza kwa kutoa Gawio la Serikali.

Tofauti na hayo kwenye shughuli iliyofanyika leo, Taasisi hizi zinazosimamia sekta ya Utalii sio kwamba hazijatajwa kwenye Taasisi zilizoongoza kutoa Gawio bali hata kwenye Taasisi zilizofanya vizuri kwenye kutoa Gawio hazijatajwa wala kupewa tuzo.

Maswali makubwa ya kujiuliza kwenye hili ni;
Fedha za taasisi hizi zinazotajwa kuongoza kupokea wageni ambao tunajua wanalipa hela nyingi zimepelekwa wapi? Je kuna wizi mkubwa unafanywa kwenye Taasisi hizi?

Akili kumkichwa Watanzania.

CCM ni laana.
Achana na wahuni ,ukiona wakurugenzi wanabadilishwa kila mara jua kuna shida kaka
 
Something is wrong somewhere!

Kwa muda wa miaka miwili na zaidi sasa takwimu zinazotolewa na Serikali na vyombo mbalimbali vya habari vya ndani na nje ya nchi zinadai kuwa Tanzania tunaongoza kwa kupokea idadi kubwa ya Watalii wanaotembelea nchi yetu ikiwemo mbuga zetu za wanyama na vivutio mbalimbali.

Kutokana na taarifa hizo, tulitegemea leo katika shughuli ya Rais kupokea Gawio kutoka Taasisi na Mashirika ya Umma, Taasisi za TANAPA na NGORONGORO ndizo zingeongoza kwa kutoa Gawio la Serikali.

Tofauti na hayo kwenye shughuli iliyofanyika leo, Taasisi hizi zinazosimamia sekta ya Utalii sio kwamba hazijatajwa kwenye Taasisi zilizoongoza kutoa Gawio bali hata kwenye Taasisi zilizofanya vizuri kwenye kutoa Gawio hazijatajwa wala kupewa tuzo.

Maswali makubwa ya kujiuliza kwenye hili ni;
Fedha za taasisi hizi zinazotajwa kuongoza kupokea wageni ambao tunajua wanalipa hela nyingi zimepelekwa wapi? Je kuna wizi mkubwa unafanywa kwenye Taasisi hizi?

Akili kumkichwa Watanzania.

CCM ni laana.
Labda wanachukua Data za Uhamiaji za Tourist VISAS.

Wahuni wengine kama Wachina, wanaingia na Tourist Visa halafu wanaenda kujificha vijijini huko kuchezesha mabonanza ya kamari.

Hawaedni huko TANAPA na NGORONGORO.
 
Labda wanachukua Data za Uhamiaji za Tourist VISAS.

Wahuni wengine kama Wachina, wanaingia na Tourist Visa halafu wanaenda kujificha vijijini huko kuchezesha mabonanza ya kamari.

Hawaedni huko TANAPA na NGORONGORO.
Tukizidi kuchimba kuna jambo kubwa tutalipata hapa.

Takwimu zinadai Mbuga zetu ndo zinaongoza kwa kupokea wageni. Sasa how comes hatuoni hizi taasisi lwenye kuongoza kutoa Gawio?
 
Tukizidi kuchimba kuna jambo kubwa tutalipata hapa.

Takwimu zinadai Mbuga zetu ndo zinaongoza kwa kupokea wageni. Sasa how comes hatuoni hizi taasisi lwenye kuongoza kutoa Gawio?
images (1).jpeg


Umeona wapi wachina wameenda Mbugani ,kutalii??

images (1).jpeg
 
Something is wrong somewhere!

Kwa muda wa miaka miwili na zaidi sasa takwimu zinazotolewa na Serikali na vyombo mbalimbali vya habari vya ndani na nje ya nchi zinadai kuwa Tanzania tunaongoza kwa kupokea idadi kubwa ya Watalii wanaotembelea nchi yetu ikiwemo mbuga zetu za wanyama na vivutio mbalimbali.

Kutokana na taarifa hizo, tulitegemea leo katika shughuli ya Rais kupokea Gawio kutoka Taasisi na Mashirika ya Umma, Taasisi za TANAPA na NGORONGORO ndizo zingeongoza kwa kutoa Gawio la Serikali.

Tofauti na hayo kwenye shughuli iliyofanyika leo, Taasisi hizi zinazosimamia sekta ya Utalii sio kwamba hazijatajwa kwenye Taasisi zilizoongoza kutoa Gawio bali hata kwenye Taasisi zilizofanya vizuri kwenye kutoa Gawio hazijatajwa wala kupewa tuzo.

Maswali makubwa ya kujiuliza kwenye hili ni;
Fedha za taasisi hizi zinazotajwa kuongoza kupokea wageni ambao tunajua wanalipa hela nyingi zimepelekwa wapi? Je kuna wizi mkubwa unafanywa kwenye Taasisi hizi?

Akili kumkichwa Watanzania.

CCM ni laana.
Gawio = Dividends, hakuna Gawio kama hakuna Hisa,

Mapato ya utalii sio Hisa bali ni direct yanaenda Serikalini kama Dhahabu, Mapato ya Tra etc.

Nitakupa Mfano Nmb wamepata faida Bilioni 600 ila gawio ni Bilioni 200 tu Bilioni 400 zinaenda ku improve kampuni, zinaitwa Gawio sababu Kampuni ndio inaamua shareholders Wapate kiasi gani na sio kiasi chote kinaenda kwa wamiliki.

Kwenye Utalii ile ni kama Fee mtalii anachajiwa inatakiwa yote iende Serikalini na sio serikali ipewe kiasi fulani, chengine kitaenda wapi?

Kutakuwa na Gawio kwenye Utalii kama Serikali it wekeza kampuni za utalii ama makampuni mengine yanayojihusisha na hizo biashara. Ila kilo kinachopatikana kwa kumchaji mtalii sio gawio.
 
Back
Top Bottom