Kama Taifa, tunashindwa vipi kuwa na salamu yetu kwenye mihadhara ya kitaifa tukaepuka hizi za kidini?

NISAIDIE KWENYE HII SALAMU YA KITAIFA ANAYESALIMIWA NI NANI KAMA NI WANANCHI BASI SWALA LA IMANI YAO HUWEZI LIKWEPA LABDA TUFUTE KABISA HIZI DINI ZA WAZUNGU NA WAARABU...... KILA KABILA LINA SALAMAU ZAKE....... KWA KABILA LANGU TUNASALIMIA KWA KIONGOZI KUSEMA TUSHIKILIE YALIYO MEMA SISI TUNAITIKIA NDIYO

Bwashee hoja yako ni ipi.?

Kama kila kabila lina salamu zake, kwanza hapa hatujadili zile salamu za kujuliana hali... nimetoa mifano michache ya vile ‘vibwagizo’ kabla ya kuongea na hadhira.

Unaposema CCM HOYEEE hiyo ndo tumeitumia hapa kama salamu japo sio kwa lengo la kujuliana hali, hata katika vijiji vyetu wakati wa vikao kuna ‘salamu’ fulani hutumika za kimila.

Hivyo basi, kama kabila tumeweza kuwa na ‘vibwagizo’ vyetu... mbona kitaifa tunatumia salamu za kiimani.?
 
vazi la taifa tumeshindwa sasa hata salamu,

Hizi salamu za kidini muda mwingine naona kama mizinguo tu japo ndio tuna dini mara bwana yesu asifiwe sijui asalaaa alekum wtf
salam kama taifa ingekua simpo tu kama mambooo kwisha habari
 
Bora nipuuzwe tu na mleta maada za kitoto kama wewe, maana nitaambukizwa upumbavu bureee. Badala ya kuwaza mambo kukuza uchumi unatuletea utumbo kama huu. Sisi sio watoto wadogo bhana, hiyo maada kajidili na watoto wenzako huko
Kanyonyeshe kwanza mtoto analilia nyonyo huko, unaongea utumbo tu humu, wew unadhan wote wamefika hiyo form 3??
 
Mwanzoni mwa paragraph nilianza kuona unataka kuleta udini nikagundua baadae sio hasa ulipotafsiri Aslam aleikhum kuwa ni amani iwe juu yenu kwa mantiki hiyo sio salamu ya waslam bali ni kwa lugha ya kiarabu tu.Hata YESU alisemaga Amani iwe juu yenu.

Naona point yako ina mantiki mimi kuondoa kadhia hii napendekeza teseme UMOJA NA MSHIKAMO wanaojibu waseme NDIO NGUZO YETU hii iwe salamu ya kitaifa
Hii salam imepita. Bado utekelezaji tu.
 
Hapa ndipo tunapotofautiana hata na wao waliotuletea hizo dini (i.e western people), Unakuta mtu sijui ndio mtumishi au ostadh mpo sehemu ya public atataka awabugudhi watu wengine aidha kwa mazungumzo ya kidini au mambo mengine yanayofanana na hayo pasipo kuelewa sio wote wenye misimamo hiyo ya kidini au hata kuamini katika hizo dini,

wenzetu swala la imani ni swala binafsi ambalo muhusika anatakiwa abaki nalo yeye kama yeye, na ofcourse zipo sehemu husika kwa shughuli za kidini.

Nachukia sana kumpambanua mtu kwa sifa ya kidini, i completely hate that shit, utamsikia mtu "yule dada muislamu" au "yule kaka msabato/mlokole" hii kitu huwa inanikata moto sanaa.
Nashukuru Mungu nakiishi hiki ninachokiongea, kuna watu nimekaa nao over 3 years hawajui hata dini yangu zaidi ya kuishia kuguess tu.




Let's meet at the top, cheers

upo sahihi mkuu,Dini zikiendekezwa kila mahali zina madhara sana.hata Tz siku moja zitaleta mgogoro mkubwa,sasa hivi Tz kuna udini sana
 
Bwashee hoja yako ni ipi.?

Kama kila kabila lina salamu zake, kwanza hapa hatujadili zile salamu za kujuliana hali... nimetoa mifano michache ya vile ‘vibwagizo’ kabla ya kuongea na hadhira.

Unaposema CCM HOYEEE hiyo ndo tumeitumia hapa kama salamu japo sio kwa lengo la kujuliana hali, hata katika vijiji vyetu wakati wa vikao kuna ‘salamu’ fulani hutumika za kimila.

Hivyo basi, kama kabila tumeweza kuwa na ‘vibwagizo’ vyetu... mbona kitaifa tunatumia salamu za kiimani.?
Haya basi niseme hii hoja ni ngumu maana ukitaka iwe hivi mwingine atasema iwe vile ndo nilimaaniaha hivyo IMANI ZA WATU ..... twende tukaandae mashamba ya miti... 2025 mabilionea Sie
 
Naunga juhudi mkono, kuwepo na salam moja ya kitaifa ili kuondoa sintofahan maana kuna wapagani wao hawasalimiwi. Mfano jana nilimsikia kiongozi mmoja wa Siri-kali anatoa salama ya upande mmoja tu nikawaza sana na akaendelea kwa kusema sisi (akataja dini yake) tunasema .........

Nukajiuliz sana ikabidi ninywe maji.
Alijipambanua

Mungu Ibariki Tz - MITz
 
Hii HOJA ina mashiko, hata mimi ninakwazwa sana na hizi salamu. Njia nyingine ya kuondoa UDINI katoka taifa letu ni kuondoa salamu za KIDINI. Napendekeza " Uhuru na Umoja " ndio maendeleo yetu
 
Haya basi niseme hii hoja ni ngumu maana ukitaka iwe hivi mwingine atasema iwe vile ndo nilimaaniaha hivyo IMANI ZA WATU ..... twende tukaandae mashamba ya miti... 2025 mabilionea Sie

Miti gani bwashee utavuna kwa miaka mitano?
 
Back
Top Bottom