Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 6,318
- 8,228
Bora nipuuzwe tu na mleta maada za kitoto kama wewe, maana nitaambukizwa upumbavu bureee. Badala ya kuwaza mambo kukuza uchumi unatuletea utumbo kama huu. Sisi sio watoto wadogo bhana, hiyo maada kajidili na watoto wenzako hukoPamoja na majivuno yako ila hata kuandika tu hujui, kwako wewe wasiosoma huko unaita sekondari hawafai kuheshimiwa na kuelekezwa nawe mwerevu... elimu yako iwanufaishe wengine pia.
Ukileta ukada hapa nitachagua kukupuuza tu.