Napendekeza: Viwandaaa..Mwanzoni mwa paragraph nilianza kuona unataka kuleta udini nikagundua baadae sio hasa ulipotafsiri Aslam aleikhum kuwa ni amani iwe juu yenu kwa mantiki hiyo sio salamu ya waslam bali ni kwa lugha ya kiarabu tu.Hata YESU alisemaga Amani iwe juu yenu.
Naona point yako ina mantiki mimi kuondoa kadhia hii napendekeza teseme UMOJA NA MSHIKAMO wanaojibu waseme NDIO NGUZO YETU hii iwe salamu ya kitaifa
Tunajibu:Uchumi wa kati