Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 34,696
- 40,963
Huo uwaziri kwa status yake unamtosha kabisa.Usisahau uraia wake ni wa makaratasi,hiyo ndio sifa kubwa itakayomsababishia hata fomu ya kugombea kunyimwa the same applied to Mr Kinana.
Huko anakotaka kwenda asijaribu kabisa atazua
Mambo mengine. Aridhike na anachokipata.