MSHINO
JF-Expert Member
- Jul 26, 2013
- 1,067
- 709
Katika binadamu aliowaumba hapa duniani watanzania aliwapa sifa na vipawa tofauti kama ifuatavyo
- Wakati MUNGU amewaumba wanadamu kusahau lakini wamepewa uwezo wa kukumbuka lakini Watanzania MUNGU ametuumba kusahau milele bila kukumbuka.
- Mungu aliwaumba Watanzania kuwa wapole na wavumilivu
- Watanzania Mungu aliwaumba kwa kuwapa woga kutohoji au kuuliza hata kama wanaumia mioyoni.
- Watanzania wameumbwa kuwa wakarimu huku wakiugulia moyoni hata kama ukiwauliza wanaonaje maisha utasikia mambo ni poa hata kama siyo sawa.