ngongoti2000
JF-Expert Member
- Nov 20, 2017
- 2,235
- 2,123
Maisha yanakwenda kasi sana......yaani Bashite alikuwa na maguvu kuliko serikali...lakini sasa amekuwa mdogo kama tumbili....kweli madaraka wacha kabisa
Angejikamata mwenyewe?Mbona wasiojulikana walimshinda
Upuuzi mtupu.Msingi wa jeshi la polisi imara ni operation ili kudhibidi uhalifu. Ndio maana Makonda kama mkuu wa masuala ya usalama aliamini kwenye operation.
Makonda alimsimamia vyema Igp Sirro wakati huo ni kamanda wa kanda maalumu kuhakikisha uhalifu wa kila aina unatoweka Dar.
Vibaka, wahuni, majambazi walipotea kabisa Dar.
Jeshi la polii lilikuwa na utayari wakati wote na hata yeye kama mkuu wa mkoa alihakikisha linapata vifaa kama magari.
Kwa mantiki hii kama Dar ingekuwa na Rc kama makonda matukio ya ajabuajabu yasingetokea.
Msingi wa jeshi la polisi imara ni operation ili kudhibidi uhalifu. Ndio maana Makonda kama mkuu wa masuala ya usalama aliamini kwenye operation.
Makonda alimsimamia vyema Igp Sirro wakati huo ni kamanda wa kanda maalumu kuhakikisha uhalifu wa kila aina unatoweka Dar.
Vibaka, wahuni, majambazi walipotea kabisa Dar.
Jeshi la polii lilikuwa na utayari wakati wote na hata yeye kama mkuu wa mkoa alihakikisha linapata vifaa kama magari.
Kwa mantiki hii kama Dar ingekuwa na Rc kama makonda matukio ya ajabuajabu yasingetokea.
Makonda aliamua kustaafu mwenyewe nafasi hiyo na kugombea Ubunge ambao aliukosa, sasa unamlilia nani?Msingi wa jeshi la polisi imara ni operation ili kudhibidi uhalifu. Ndio maana Makonda kama mkuu wa masuala ya usalama aliamini kwenye operation.
Makonda alimsimamia vyema Igp Sirro wakati huo ni kamanda wa kanda maalumu kuhakikisha uhalifu wa kila aina unatoweka Dar.
Vibaka, wahuni, majambazi walipotea kabisa Dar.
Jeshi la polii lilikuwa na utayari wakati wote na hata yeye kama mkuu wa mkoa alihakikisha linapata vifaa kama magari.
Kwa mantiki hii kama Dar ingekuwa na Rc kama makonda matukio ya ajabuajabu yasingetokea.
SijakuelewaAcha mzaha. Vibaka, wahuni, majambazi ni watu wenye kuipenda dunia. Huwa wanakimbiza roho zao.
Huwezi kuzuia mashambulizi ya kijihadi au kikamikaze kwa blabla za kisiasa. Unatakiwa kuwa na uwezo wa kiintelijensia wa hali ya juu na makomandoo wenye uwezo na dhamiri ya kujitoa mhanga. Sio askari waliozoea kuonea raia.
Jiulize inakuwaje Marekani wanatimka huko Afghanistan au ilikuwaje wakashusha bomu la atomiki huko Japan ili kushinda vita. Vietnam walikimbia. Iraqi wameiacha shaghalabaghala. Kupambana na mtu aliyeamua kufa si kitu ni habari nyingine.
Tuombe Mungu modeli ya Hamza isijitokeze tena. Bila shaka polisi wetu hadi sasa wamepigwa na butwaa kwa kilichotokea. Watanzania wao hawana jeuri hiyo. Wasiwasi ni wasije waka-overreact na kutandika risasi mtu anayewasogelea kuomba msaada au kutoa taarifa. Polisi wa Marekani wanaishi na hofu hiyo kila siku. Hakuna mtemi hapo.