Idugunde
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 6,273
- 6,637
Msingi wa jeshi la polisi imara ni operation ili kudhibidi uhalifu. Ndio maana Makonda kama mkuu wa masuala ya usalama aliamini kwenye operation.
Makonda alimsimamia vyema Igp Sirro wakati huo ni kamanda wa kanda maalumu kuhakikisha uhalifu wa kila aina unatoweka Dar.
Vibaka, wahuni, majambazi walipotea kabisa Dar.
Jeshi la polii lilikuwa na utayari wakati wote na hata yeye kama mkuu wa mkoa alihakikisha linapata vifaa kama magari.
Kwa mantiki hii kama Dar ingekuwa na Rc kama makonda matukio ya ajabuajabu yasingetokea.
Makonda alimsimamia vyema Igp Sirro wakati huo ni kamanda wa kanda maalumu kuhakikisha uhalifu wa kila aina unatoweka Dar.
Vibaka, wahuni, majambazi walipotea kabisa Dar.
Jeshi la polii lilikuwa na utayari wakati wote na hata yeye kama mkuu wa mkoa alihakikisha linapata vifaa kama magari.
Kwa mantiki hii kama Dar ingekuwa na Rc kama makonda matukio ya ajabuajabu yasingetokea.