Bemendazole
JF-Expert Member
- Nov 14, 2020
- 2,379
- 5,942
Ujenzi wa sasa ni gharama,
Ukitaka ujenge haraka, jenga nyumba ndogo. Ili iishe haraka, uhamie.
Tumetembelea maeneo mengi. Nimeona, wengi waliojenga majumba makubwa, wameishia njiani.
Endapo una ndoto ya kujenga ghorofa na kipato chako NET ni chini ya milioni tatu kwa mwezi, sikushauri.
Ila kama una ona ni muhimu sana kujenga ghorofa, basi jenga ghorofa la 'nusu nyumba, nusu ghorofa'... maarufu kama 'ghorofa la kinyakyusa' kutokana na ujenzi wa aina hii kushamiri jijini Mbeya 😀😀😀
Ukitaka ujenge haraka, jenga nyumba ndogo. Ili iishe haraka, uhamie.
Tumetembelea maeneo mengi. Nimeona, wengi waliojenga majumba makubwa, wameishia njiani.
Endapo una ndoto ya kujenga ghorofa na kipato chako NET ni chini ya milioni tatu kwa mwezi, sikushauri.
Ila kama una ona ni muhimu sana kujenga ghorofa, basi jenga ghorofa la 'nusu nyumba, nusu ghorofa'... maarufu kama 'ghorofa la kinyakyusa' kutokana na ujenzi wa aina hii kushamiri jijini Mbeya 😀😀😀