Kingsharon92
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 7,936
- 10,560
Saluteeeeeeeeeeeeeeee mkuu
Saluteeeeeeeeeeeeeeee mkuu
Hapo kwenye elimu wee jamaa Mawazo yako yapo kama yangu hadi nimeshangaa iwaje tufanane idea vilevile nlivokua nawaza... Big up mku
Hizi bangi hizi.
HiziZipi?,
Mkuu mbona una hasira hivyo?,kwani mimi ndo nasababisha walimu mnalipwa mshahara tarehe 40?
walimu wana hasira sana na serikali yao.Hivi tarehe 25 ya kila mwezi ni 40,,tuna safari ndefu sana kama wewe ndio unataka uraisMkuu mbona una hasira hivyo?,kwani mimi ndo nasababisha walimu mnalipwa mshahara tarehe 40?
Angalia mkuu kauli zako kuna mtu kamwita jamaa flani bwege halafu akashtakiwa.Mkuu unaonaje tufanye mapinduzi uingie ikulu halafu mimi unipe ak47 ya kuulia mafisadi?
Hivi tarehe 25 ya kila mwezi ni 40,,tuna safari ndefu sana kama wewe ndio unataka urais